Behind the curtain: September 11

Kuna watu mnatafutwa huku:

Nifah
Clkey
Fakalava
Shunie
Johnsonmgaya
Mkoroshokigoli
Blaki woman
Lee empire
Tonny Mla Bata.. Vipi na wewe unataka kubadili character?? johnsonmgaya hamtaki tena baba bite.. Anataka character mwingine.. Kuna raia mwema amemchagulia "Sinyorita" [emoji23]
 
Tonny Mla Bata.. Vipi na wewe unataka kubadili character?? johnsonmgaya hamtaki tena baba bite.. Anataka character mwingine.. Kuna raia mwema amemchagulia "Sinyorita" [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna movie inachezwa nini? Mimi wanipe hiii tuu mkuu!

Nilishaiomba kitambo! Tony mla bata suits me 100%
 
Tonny Mla Bata.. Vipi na wewe unataka kubadili character?? johnsonmgaya hamtaki tena baba bite.. Anataka character mwingine.. Kuna raia mwema amemchagulia "Sinyorita" [emoji23]
Hao watu nimewaulizia manake huku siwaoni tena! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
mkuu ulinisahau kuniita kona hii kwani nimechelewa sana
 
Habari mkuu The bold
Napenda kuuliza maswali yangu japo yawezekana kuna wengine wameshayauliza ila ukweli ni kuwa sijasoma post za watu wote.
1. Kwenye simulizi la kupelelezwa hadi kuuawa kwa Osama bin laden ulimwongelea kijana aliyeitwa Mohammed al-Qahtani ambaye alinyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, lakini kwenye simulizi hili sijaona uhusika wake.
2. Huyu jamaa aliyenyimwa viza na kufanya kundi kuwa na upungufu hatima yame ilikuwaje?
3. Kuna dada mmoja Mturuki alikuwa mpenzi wa mmoja kati ya hao vijana waliohusika kwenye ugaidi, hatima yake ilikuwaje?
4. Wale waliokuwa pungufu walishindwa kufikia shabaha yao kutokana na abiria kuamua kutaka kujiokoa, hizi ndege nyingine abiria hawakuonyesha reaction yeyote? Au nini kilifanya washindwe ku react?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…