Behind the curtain: September 11

Shukrani mkuu the Bold kwa uchambuzi wako murua. Nasubiri nijue hayo malengo ya kwa nini serikali ya merekani ilihitaji tukio hilo litokee.

Tutakutana ijumaa ikiwa heri, hapa hapa kilingeni. Pamoja sana mkuu, na usinisahau kwenye ufalme wako.
 
Kama ningekuwa na mchepuko ningeumbuka leo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha haaaa... Kabisaaaa, unajua mwanzoni naona comments najua ni wewe coz of Avatar, but nikiangalia Mwandiko naona ni Wa Jamaa, ikabidi niangalia username, khaaaa.. Makubwa ya Jongo, lakini inapendeza sana, mimi na Wife tunashare simu.. Bundle ikikata kwangu naendeleza na yake, yake ikikakata anachukua yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…