Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #1,061
Karibu sana!Asante!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana!Asante!
Nimeshaiweka hapa tangu mchana..The Bold salamu Mkuu.
Tunaisubili hiyo namba 11 mzee.
asante
Ishatoka tangu mchana..the bold hii ya 11 inatoka lini
Nimeshatupia toka mchana..Uzi wa leo bado???
Hahahahah!! Pamoja sana Mkuu..hahah! mkuu The bold nashusha uzi fasta fasta uku nikiangalia avatar nikadhani mtoto anakusaidia ku reply....
nimekukubali tena kwa hilo!
Nimemuachia ukumbi bwana mkubwa ajiachie, nilitaka niweke record sawasawa, nashawishika kuwa huenda kuna decision makers/policy makers au wale ambao wana influence maamuzi ya nchi/serikali wakapita hapa kunyakua mawili matatu, ni vyema kuelezea kiini cha tatizo (course) (proactive) halisi kabla ya ku-rush kwenye kuelezea 'reactive' consequences za CIA, AL Queda, et al.
Radical Islam its a contemporary axis of balance btn peace and conflicts, and may be in half a century to come, if not more, will be, failing to comprahandle the core course of the problem will leave us dealing with what is urgent and not what is important which is an important element in national security decision making process.
Unless ameleta 'story' tam...
I hope umeshaiona sasa..sehemu ya 11 mbona mm siioni mwana??
Hahahahah.!! Suala la Osama mjadala wake ni mpana sana.. Umesoma ile makala ya 'Geranimo E.K.I.A'??duh Marekan imezidi uongo,inawezekana hata Osama yupo hai.
mkuu mbona episode ya 11 sijaiona mpaka sasa ,naomba uiweke pale juu zilipo episode 1-10 zinaonekana vizuri tuNimeshaiweka hapa tangu mchana..
leo ndo nimejua kumbe nifah mkeo!! hongera kakaHahahahah... Niko na panga mkononi nawasubiri PM vidume vinavyo mmendeaga Cheupe wangu..
Ha ha ha haaa.. Safi sana Mkuu.Hahahahah... Niko na panga mkononi nawasubiri PM vidume vinavyo mmendeaga Cheupe wangu..
Nitapandisha pale juu link yake muda si mrefu..mkuu mbona episode ya 11 sijaiona mpaka sasa ,naomba uiweke pale juu zilipo episode 1-10 zinaonekana vizuri tu
Ni mkewangu Mkuu.. Siku si nyingi tunahalalisha kabisaleo ndo nimejua kumbe nifah mkeo!! hongera kaka
Mmmh Mkuu huko usoni vipi tena? Kweli ya dunia mengi, pole sana mkuu!Mkuu The bold tupo pamoja sana
ohh ,, sio mke ni MCHUMBA ....ukihalalisha unaruksa ya kumwita sasa MKE ....kila la kheri kaka,, ndoa tamu namkaribisha Niffah kwenye chama chetu ...ajiandae kabisa kiasaikolojia mana dah sasa hiv mabinti hawakuoni ila ukishavaa pete tu wanakuja kama mafuriko ya jangwani ,,Ni mkewangu Mkuu.. Siku si nyingi tunahalalisha kabisa