Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

Inasemekana Wayahudi wote waliokuwa wanafanyakazi WTC hawakwenda kazini september 11. That means hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa katika shambulio lile.

Ina maana walijua nini kinatarajia kutokea,mossa wanakwepa vipi hili? ngoja tusome zaidi
Agency za Italia ,Misri,Jordan ,UK walijua hili tukio mapema,soma vzr kuna sehemu kaweka jinsi gani walijua
 
Hahahahah.!! Suala la Osama mjadala wake ni mpana sana.. Umesoma ile makala ya 'Geranimo E.K.I.A'??
Ndio nimeisoma ile makala.Ila kama kweli wangekua wamemuua wangempiga picha,Si unajua tena wamerakani wanavyopenda sifa wale
 
Ni mkewangu Mkuu.. Siku si nyingi tunahalalisha kabisa
Nimecheka sana jinsi unavyo wahi kuzuia mapema, maana Kuna jamaa yangu kuna siku nilikutana nae yuko na demu wake nikamuuliza huyu ndio shemeji akakataa, nikampa mkono msichana alipo upokea nikamminya halafu nikamtenya kumbe na yeye joto likapanda, kilicho fatia tukutane episode ya 3000
 
Back
Top Bottom