Bei ya hizi TV inanitia shaka ubora wake ingwa napendaga vitu cheap

Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
 
Asante kwa kushea uzoef
 
Size gani izo GOODVISION na bei ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…