DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Dah! Aisee nchi ngumu sana hiiZipo chief kuna wahindi wanaziuza pale mnazi mmoja.
Hizo watakua wanazifyatua kinyemela[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Aisee nchi ngumu sana hiiZipo chief kuna wahindi wanaziuza pale mnazi mmoja.
Bidhaa nyng za HISENSE Zemye bei kitonga ni brand za china na southafricaMkuu vipi kwa upande wa Friji,naona hisense zimezagaa sana mtaani na bei nafuu kulinganisha na brand za LG,Samsung nk...naomba kujua ubora wa friji za Hisense za kuanzia 1 million.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]miaka miwili ya uongo hiyoHahaha[emoji23] warranty miaka 2
Nilikuwa sijui kama kuna HISENSE za UK.Bidhaa nyng za HISENSE Zemye bei kitonga ni brand za china na southafrica
Hisense ya UK ina bei sawa na LG au samsung ya korea
Homebase vitu vyao orijino sana,Umekaa nayo muda gani?
Hisense za UK ndo zilitangulia sokoni kabla ya haya matakataka mengine hayajaingia.Nilikuwa sijui kama kuna HISENSE za UK.
Amekariri uyo mkuu,Ni mtazamo tuu kwa hyo sikupingi
So mkuu mtu akitaka kubuy TV brand gan una suggest?Dah! Aisee nchi ngumu sana
Hizo watakua wanazifyatua kinyemela[emoji848]
Inategemea na budget yake na kipaumbele chake, either quality ya picha,uimara wa tv au matumizi yake kutokana na mazingira yake.So mkuu mtu akitaka kubuy TV brand gan una suggest?
Dukan kwako una friji za Westpoint mkuu?Hisense za UK ndo zilitangulia sokoni kabla ya haya matakataka mengine hayajaingia.
Sema bei yake haishikiki,
Unazipata kwa dealers wenyewe au maduka makubwa makubwa yasiyouza kwa njaa
Okei mfn bajeti ni 500-700kInategemea na budget yake na kipaumbele chake, either quality ya picha,uimara wa tv au matumizi yake kutokana na mazingira yake.
Zipo, unataka lita ngapiDukan kwako una friji za Westpoint mkuu?
Jamaa alimjibu alimuuliza kuhusu Homebase yakeWee ni muongo,
sijui unapata faida gani kupotosha
Brand ya ALITOP imeingia sokoni mwaka JUZI 2020 kwa product zao zote za electronics
Duuuh! Utawezaje kuitofautisha copy na og?Tlc na hisense copy nyng sn mjini
Akienda kichwa kichwa anauziwa copy kwa bei ya OG
Mazingira uliyopo yana watoto?Okei mfn bajeti ni 500-700k
Iwe na quality nzuri ya picha iwe na uwezo wa kudumu na stressful environment like kukatika umeme, radi pia nch iuanzia 50 kwenda mbele
Sio mzoefu sana kwa hizi mambo mwaya we nishauri tu [emoji2]
Nilitaka kujua hiyo alitop tv aliyoitumia tangu 2015 aliitoa wapi wkt hiyo brand imeingia sokoni 2020 kwa product zoteJamaa alimjibu alimuukiza kubusu Hinebase yake