Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
Homebase sio powah hataredio zao ni moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao jamaa ni zaidi ya ORIGINALLY aiseePia nilisahau,
shukran sn kunikumbusha,
Hawa singsung vitu vyao orijino sana.
Mwanzon walikuja kama vopy ya samsung, wakafeli sana, baadae wakaboresha mno.
BIDHAA ZA SINGSUNG NI OG mno
Changamotp yao kwny tv,
Hawatoi double screen, wenye familia, watoto,sebule ndogo zenye movement sana ni changamoto sana.
Zinapasuka sana vioo.
Hapo alifungwa nan hiyoo mechi bossChukua Home base....utakuja kunishukuru badae View attachment 2612044
Wee ulinunua tv ipi?Fafanua kwa upana mkuu, au na mimi nilipigwa??
Vitu vyao orijino sana mkuu,Homebase sio powah hataredio zao ni moto
Mfano? Au unawazungumzia philips[emoji4]Siku hizi hadi kampuni ya kutengeza pasi, wanatengeneza TV...
Mfano? Au unawazungumzia philips[emoji4]
Hata solamax iko powa sana. Alitop na itel sina imann nazo kabisaAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Goodvision smart TV ni 230000 32inch ukibisha uwe na ushaid(double glass)Reja reja inacheza kuanzia 300,000 -350,000 kutegemea na muuzaji mwny
Mkuu Solarmax tayar umeshatumia?Hata solamax iko powa sana. Alitop na itel sina imann nazo kabisa
Nimeona mpaka ITEL na bei ni cheap mpaka zinatisha japo zina vutia sanaAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Hiyo 230k ni bei ya mkorea mwenyewe supplier mkuu wa goodvision kwa wateja wake wa jumla tu.Goodvision smart TV ni 230000 32inch ukibisha uwe na ushaid(double glass)
Itel uimara wake sijui,Nimeona mpaka ITEL na bei ni cheap mpaka zinatisha japo zina vutia sana
Ili mradi tu unipige dongo[emoji38]Wengine endeleni na story za michepuko tu
Solar max sijawahi kuwaelewa kabisa,Hata solamax iko powa sana. Alitop na itel sina imann nazo kabisa
Star-x vipi unaizungumziaje na 43 inch ni bei gani43" Led DOUBLE GLASS = 470,000
43" Smart DOUBLE GLASS= 500,000
Ahaa! Kwenye mng'ao wa picha ukiipambanisha na TLC ipi ina nafuu! Nimeona hizo frameless mahala zimenichanganya sana muonekano wakeItel uimara wake sijui,
Nmeziuza kipind flan, kwa mtizamo wangu
Ila hazina mng'ao mzur wa picha japo design yao ya tv imetulia sana hasa zile frameless
Star x nzur nmeona ni zile zinazotokea dubai, zinauzwa sana kule zanzibari.Star-x vipi unaizungumziaje na 43 inch ni bei gani
Unazungumzia TLC au TCL?Ahaa! Kwenye mng'ao wa picha ukiipambanisha na TLC ipi ina nafuu! Nimeona hizo frameless mahala zimenichanganya sana muonekano wake