Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
Sema tv za kichina za ovyo sana marx inajiengeza mwanga yenyewe mara inagoma kuwaka yanintafuraniUnazungumzia TLC au TCL?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tv za kichina za ovyo sana marx inajiengeza mwanga yenyewe mara inagoma kuwaka yanintafuraniUnazungumzia TLC au TCL?
Na mzigo nishachukua tayr made in Korea kwa 230kHiyo 230k ni bei ya mkorea mwenyewe supplier mkuu wa goodvision kwa wateja wake wa jumla tu.
Tena hiyo 230k ni bei ya leo asbh saa 4 tumetumiwa kwny group, kabla ya hapo, Bei ya Goddvision smart double jumla ilkua 250K.
Hakuna mteja yyt wa rejareja anaweza kununua hiyo tv kwa bei hiyo ya 230k,
Nmeambatanisha na ushahidi wa bei ZA jumla nilizotumiwa leo asbh saa 4, Goodvision iyo apo kwny green.
IZO BEI NYNGN NMEFICHA KUWALINDA WAFANYABIASHRA WA REJAREJA HUMU MANA HIZI BEI NI SIRI YA SUPLLIER NA WANUNUZI WA JUMLA TU[emoji116]View attachment 2612201
TLC ushanichanganya[emoji1787] zote ni brand za tv hizo au moja ni tv na nyingine ni microwave[emoji1787][emoji1787] TLC kama sikoseiUnazungumzia TLC au TCL?
Na mzigo nishachukua tayr made in Korea kwa 23 Nipe mawasiliano nahitaji inch 43
Usichanganye maneno original na imara. Unaweza tumia brand og lkn sio imara. Shida zaidi ukute brand X sio og halafu tena sio imara. Utujuta aiseeHome base sio tv ya bei rahisi mkuu,
Hawa HOMEBASE wanatoa vitu vyao origino na bei zao ni mkasi japo hawana jina na hawapendi kujipa promo sana.
Wana wateja wao royal wanaotaka vitu vyao bila kujiuliza mara mbili mbili kama ilivyo kwa wale jamaa wa KODTEC
Hawa HOMEBASE ndio wenye sabufa brand ya SEAPIANO,
Kama uliwahi tumia sabufa hizo utakubaliana na mimi kua HOMEBASE vitu vyao ni orijino.
Iko fresh tuMkuu Solarmax tayar umeshatumia?
Vp ubora wake ktk picha?
Sina chaguo bado nipo kwenye window shop,lakini bajeti yangu ni around Million moja,unaweza kunipa na recomendation ya friji nzuri kwa bajeti hiyo? Bajeti inaweza kuongezeka kidogo kulingana na ushawishi wa bidhaa.Zipo, unataka lita ngapi
Shukran kwa ufafanuz mkuu[emoji1431][emoji4]Usichanganye maneno original na imara. Unaweza tumia brand og lkn sio imara. Shida zaidi ukute brand X sio og halafu tena sio imara. Utujuta aisee
mkuu DeepPond kama hujali naomba jibu la comment # 111Shukran kwa ufafanuz mkuu[emoji1431][emoji4]
Hisense 55'Wee ulinunua tv ipi?
Usingemtaja mama J ningeaga JF Mimi.Kwa mamaJ ipo 32" Goodvision tangu 2020 mpk leo,inapiga kazi. Sijapata malalamiko ya wateja khs tv zao.
Hawa wakorea kiukwel wanajitahidi
Ha ha ha....[emoji1]Usingemtaja mama J ningeaga JF Mimi.
Ahsante kwa kutupatia ABCD za TV
Friji nzuri kwa hiyo budget zipo nyng mkuu,mkuu DeepPond kama hujali naomba jibu la comment # 111
Nchi 43 unauzajeAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Nimeona..43" Led DOUBLE GLASS = 470,000
43" Smart DOUBLE GLASS= 500,000
Hakuna TLC we jamaa.... Kuna TCLTLC ushanichanganya[emoji1787] zote ni brand za tv hizo au moja ni tv na nyingine ni microwave[emoji1787][emoji1787] TLC kama sikosei
Niunge na hao washkaji mkuuNa mzigo nishachukua tayr made in Korea kwa 230k