Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu Hisense ni China based company ila ya UK ni bora zaidiBidhaa nyng za HISENSE Zemye bei kitonga ni brand za china na southafrica
Hisense ya UK ina bei sawa na LG au samsung ya korea
Hapana sina mtoto bado,Mazingira uliyopo yana watoto?
Una sebule ndogo yenye movement nyngi?
Una matumizi ya internet kwa kutumia TV?
Ya uk ni bora kwasababu zinatengenezwa kwa ajili ya soko la ulayaCha ajabu Hisense ni China based company ila ya UK ni bora zaidi
DeepPondDuuuh! Utawezaje kuitofautisha copy na og Hisense?
nilinunu TV 32inch 2 na pasi mbili za SINGSUNG mwaka 2013 mwishoniNilitaka kujua hiyo alitop tv aliyoitumia tangu 2015 aliitoa wapi wkt hiyo brand imeingia sokoni 2020 kwa product zote
Unataka nchi ngapiHapana sina mtoto bado,
s
ebule yangu haina movement mingi ni gheto tu one room
pia situmii TV vs Internet
Ukiangalia box,ukiifungua tv,hata ukiiwasha unaona tu uwakaji wake na ubora wa picha yake
Mkuu mbona jamaa amesema Homebase hajasena AlitopWee ni muongo,
sijui unapata faida gani kupotosha
Brand ya ALITOP imeingia sokoni mwaka JUZI 2020 kwa product zao zote za electronics
Mkuu duka lako liko mtaa gani nikutembelee hapo?Pamoja mkuu[emoji106]
Star X ndo TV bora toka UchinaniAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
inch 32 smart double glass ya GOOD VISION shilingi ngapi?Inategemea na budget yake na kipaumbele chake, either quality ya picha,uimara wa tv au matumizi yake kutokana na mazingira yake.
Pia nilisahau,nilinunu TV 32inch 2 na pasi mbili za SINGSUNG mwaka 2013 mwishoni
Moja nikampa BI MKUBWA moja nikatumia mm
Mm TV niliuzaga miaka miwili mbele nikanunua SAMSUNG 43"
Lakini pasi ninayo mpk leo
Kwa bi mkubwa TV 32inch pasi na deki yake SINGSUNG mpk leo wanatumia ingawa deki hawatumii sana
Huyo jamaa nilomuuziga mwaka juzi mwishoni walimuibia TV ile akanifata anataka TV SINGSUNG kma niliyomuuziaga nikatafuta sana nikakosa mpk nikakata tamaa
Je hii KAMPUNI siku hizi haipo ama
Fafanua kwa upana mkuu, au na mimi nilipigwa??Tlc na hisense copy nyng sn mjini
Akienda kichwa kichwa anauziwa copy kwa bei ya OG
300k-350k inategemea na muuzajiinch 32 smart double glass ya GOOD VISION shilingi ngapi?
Labda kama kaedit,nilisoma ALITOPMkuu mbona jamaa amesema Homebase hajasena Alitop
Chukua Home base....utakuja kunishukuru badae View attachment 2612044