Bei ya hizi TV inanitia shaka ubora wake ingwa napendaga vitu cheap

Bei ya hizi TV inanitia shaka ubora wake ingwa napendaga vitu cheap

Friji nzuri kwa hiyo budget zipo nyng mkuu,
Inategemea na mapendekezo na mazingira yako.

Unataka ya biashara au matumizi ya familia?

Unataka yenye portion ya freezer au friji tupu?

Unataka yenye water dispenser au haina haja ya dispenser?

Unapendelea friji lenye showcase au unataka yenye privacy?

Nasubir jibu mkuu
Friji ni kwa ajili ya matumizi ya familia,
portion ya freezer ni muhimu,water dispenser sio lazima ila ni bonus. Iwe ya privacy lakini pia iwe na nafasi kubwa ndani.
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Vipi mr. Uk ubora wake ukoje
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
@DeepPond location ya duka lako ndugu.
 
Nimesoma comments zote hamna aliegusa Tv za Samsung na LG na Sony kwa nini tunaogopa hizi kampuni kwamba hatuna hela za ku afford bei zao?
 
Okei mfn bajeti ni 500-700k
Iwe na quality nzuri ya picha iwe na uwezo wa kudumu na stressful environment like kukatika umeme, radi pia nch iuanzia 50 kwenda mbele

Sio mzoefu sana kwa hizi mambo mwaya we nishauri tu 😃
Chukua Goodvision au Blackstone, wapo vizuri sana.
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
LG na Hisense ipi ni mashine hapo....na ubora wa Kila bidhaa upoje hapo
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Location ya duka wapi nije kuunga mkono nataka nchi 50
 
nilinunu TV 32inch 2 na pasi mbili za SINGSUNG mwaka 2013 mwishoni
Moja nikampa BI MKUBWA moja nikatumia mm
Mm TV niliuzaga miaka miwili mbele nikanunua SAMSUNG 43"
Lakini pasi ninayo mpk leo
Kwa bi mkubwa TV 32inch pasi na deki yake SINGSUNG mpk leo wanatumia ingawa deki hawatumii sana

Huyo jamaa nilomuuziga mwaka juzi mwishoni walimuibia TV ile akanifata anataka TV SINGSUNG kma niliyomuuziaga nikatafuta sana nikakosa mpk nikakata tamaa

Je hii KAMPUNI siku hizi haipo ama
Mzee Mimi had Leo singsung ipo ofisin kwangu ni bar Ina Zaid ya miaka 9 japo Sasa taa ndiyo inazingua lakin ni mkataba Sana pata picha nimetumia asubuhi had usiku
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Mzee Deepond nimeona kuna TV Samsung 42" inauzwa Tsh 420,000/=. Najua ni copy ila naomba uniambie ikiwa copy inazingua zaidi kwenye nini? Nimeuliza kwa sababu sijawahi nunua TV copy ila kwa wakati huu nahisi nitanunua copy
 
Walichoharibu HISENSE TM ni tamaa ya kutoa licence tofauti tofauti za assembly

Mfano: sahv tuna hisense za china,uk,south africa na Egypt

Hizi za china na southafrica ndo zina copy nyng balaa sokoni,maana zinapatikana kirahisi na usimamizi wa brand ni mbavu.

Huwez amini kuna Hisense zinafyatuliwa pale chang'ombe,accessories zinaagizwa china, mabox yanaagizwa MASUMIN, assembly na branding inafanyika temeke
Hahaaa
Ni kuhamia LG kwa Mo
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Vp kuhusu starx
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Vp kuhusu bruhm mkuu!
 
Back
Top Bottom