Bei ya hizi TV inanitia shaka ubora wake ingwa napendaga vitu cheap

Bei ya hizi TV inanitia shaka ubora wake ingwa napendaga vitu cheap

Led TV zote ni moja tu, zina lifetime, kuandikwa hisense, alitop na majina mengine mengi, wanaandika kwa urahisi mno. Sidhani kama hisense TM, original wanafahamu haya ya wajasiriamali wa kichina.
Walichoharibu HISENSE TM ni tamaa ya kutoa licence tofauti tofauti za assembly

Mfano: sahv tuna hisense za china,uk,south africa na Egypt

Hizi za china na southafrica ndo zina copy nyng balaa sokoni,maana zinapatikana kirahisi na usimamizi wa brand ni mbavu.

Huwez amini kuna Hisense zinafyatuliwa pale chang'ombe,accessories zinaagizwa china, mabox yanaagizwa MASUMIN, assembly na branding inafanyika temeke
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.

Bro uko sahihi. Uvutii kwako ila unasema ukweli mtupu.

Nilinunua Goodvision kale kadogo kamwisho nikaweka ofisini kwangu adi leo ina quality ile ile since 2019 adi leo ipo pouwa sana
 
Bro uko sahihi. Uvutii kwako ila unasema ukweli mtupu.

Nilinunua Goodvision kale kadogo kamwisho nikaweka ofisini kwangu adi leo ina quality ile ile since 2019 adi leo ipo pouwa sana
Kwa mamaJ ipo 32" Goodvision tangu 2020 mpk leo,inapiga kazi. Sijapata malalamiko ya wateja khs tv zao.

Hawa wakorea kiukwel wanajitahidi
 
Kwa mamaJ ipo 32" Goodvision tangu 2020 mpk leo,inapiga kazi. Sijapata malalamiko ya wateja khs tv zao.

Hawa wakorea kiukwel wanajitahidi

Nitakutembelea nipate ingine ka home ngoja nijipange kidogo utanipa location
 
Chukua Home base....utakuja kunishukuru badae View attachment 2612044
Home base sio tv ya bei rahisi mkuu,

Hawa HOMEBASE wanatoa vitu vyao origino na bei zao ni mkasi japo hawana jina na hawapendi kujipa promo sana.

Wana wateja wao royal wanaotaka vitu vyao bila kujiuliza mara mbili mbili kama ilivyo kwa wale jamaa wa KODTEC

Hawa HOMEBASE ndio wenye sabufa brand ya SEAPIANO,

Kama uliwahi tumia sabufa hizo utakubaliana na mimi kua HOMEBASE vitu vyao ni orijino.
 
Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme

Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.

Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.

Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Mkuu vipi kwa upande wa Friji,naona hisense zimezagaa sana mtaani na bei nafuu kulinganisha na brand za LG,Samsung nk...naomba kujua ubora wa friji za Hisense za kuanzia 1 million.
 
Back
Top Bottom