Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

Juzi nimepata hizo taarifa Ila nilipuuza kumbe kuna ukweli aisee maana hata bei ya kuunganisha umeme itapanda kuanzia mwakani hizi habari zimezagaa Sana mtaani
Mimi siwezi kushangaa kwa sababu ubunifu wao kwenye kutafuta vyanzo vipya vya mapato umefikia mwisho...
 
Umeme hauwezi panda bei bila EWURA kutangaza kwenye magazeti ili wananchi wajadili.
Wakishajadili ndio maamuzi hufanyika

Na pia bei haiwezi kuwa hiyo milele
Kabla kufika huko EWURA nani huwa analianzisha? EWURA is just formalities pale ambapo maamuzi yameshafanyika...
 
Mitano Tena kwa dakitareee😂😂..kidumu cham Cha magoat
 
Nawaza kuna haja ya mtu kufunga solar panel tu unavuna umeme wako wa jua wa kutosha! Ukijifungia na kagenerator kadogo in case solar ikizungua kazi imeisha!!

Huu ujinga sijui wanaupata wapi? Umeme wenyewe unapatikana kwa taabu tena watupandishie bei?

Tudai tu katiba mpya kuna haja ya viongozi kuwajibisha kwa kuwatesa watanzania!!
Nchi hiii lazima uwe na vitu 2: Uwe na solar yako ya uhakika na pili uwe na kisima chako cha maji cha uhakika..
 
Madhara ya Iptl tutayaona muda si mrefu.Huyu rais duuuh.Tulipigwa na kitu kizito march 2020
 
Sijamsikia tundulissu akisema tuna raisi wa hovyo kuwahi kutokea, haya yote yanafanyika amekaa kimya kama bubu kiziwi.

Sasa naelewa kwann vijana wa magufuri walifanya yao maana huyu si mtu ambaye anajua masilahi ya taifa. Ana masilahi yake binafsi.
 
Umeme ukipanda karibu kila bidhaa itapanda.

Aisee kwa maisha ya Watanzania wengi mbona itakua ngumu sana Ku-afford aisee.

Hili swala serikali iliangalie kwa mapana na Marefu
 
Sijamsikia tundulissu akisema tuna raisi wa hovyo kuwahi kutokea, haya yote yanafanyika amekaa kimya kama bubu kiziwi.

Sasa naelewa kwann vijana wa magufuri walifanya yao maana huyu si mtu ambaye anajua masilahi ya taifa. Ana masilahi yake binafsi.
Tundu Lissu a.k.a mzee wa mikataba.
 
Back
Top Bottom