Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

wamemaliza kikao chao jana wanaendelea kupongezana huku maisha yakizidi kuwa magumu kwa watanzania wakiambiwa nchi imewashinda wanakuja juu kweli kweli, kimsingi miafrika hatuna akili kabisa , yaani nchi imebakia kusifiana tuuuuuuuuu, mambo hayaendi hali ngumu, ukifika huko vijijini ndio kabisaaaa , sijui huko mbele itakuaje , majenereta yananguruma tu mjini mafuta yanapanda kila uchao hatua hazichukuliwi wanawapa majibu mepesi tu eti vita vya Ukraine
 
Ila sisi watanzania tumezidi kuwa wajinga aisee,nchi zote zilizotuzunguka hakuna ujinga kama unaofanywa na ccm hapa tz,rejea kauli za kejeli za mzee makamba jana kwa waandishi wa habari
 
wamemaliza kikao chao jana wanaendelea kupongezana huku maisha yakizidi kuwa magumu kwa watanzania wakiambiwa nchi imewashinda wanakuja juu kweli kweli, kimsingi miafrika hatuna akili kabisa , yaani nchi imebakia kusifiana tuuuuuuuuu, mambo hayaendi hali ngumu, ukifika huko vijijini ndio kabisaaaa , sijui huko mbele itakuaje , majenereta yananguruma tu mjini mafuta yanapanda kila uchao hatua hazichukuliwi wanawapa majibu mepesi tu eti vita vya Ukraine
Tumeambiwa tuwe na shukurani mkuu.
 
Ila sisi watanzania tumezidi kuwa wajinga aisee,nchi zote zilizotuzunguka hakuna ujinga kama unaofanywa na ccm hapa tz,rejea kauli za kejeli za mzee makamba jana kwa waandishi wa habari
Ulitaka tufanye nini? Hii nchi ni ya ccm wao ndio wenye nchi yao, Tanzania ni kama mali yao ya urithi na ndio maana wanasema kama unaona hutaki wanayoyafanya basi hama nchi nenda Burundi huko vinginevyo uwe na shukurani kwa hicho wanachokufanyia.
 
Ni mwendo wa kutukausha damu tu.

Mitano Tena kwa mama
 
Huwa nasema tutegemee mabaya zaidi.. Sababu kila wakitugusa tuko kimya, mtu unaguswa shavu unacheka, unaguswa hivi unacheka mwishowe unashikwa tako.
Wataguswa mpaka duara kimya. kweli wtz ni maiti zinazotembea
 
Nachelea kuamini hili! Ngona nisubr mwezi January hapo!
 
Hili wala sio tetesi ndio akili za kipara na maharage. Japo hali itaendelea kuwa ngumu sana kwa wananchi. Hivi kwanini serikali isipunguze sherehe,vikao, misafara na hata vyeo ili ikusanywe hela.
Yani wajinyime wao kwa sababu yetu sie?
 
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january

Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa

Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena

Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake

My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
Usiwe unatoa taarifa ambazo hazijathibitishwa. Ulichokifanya hapa ni kosa. Kumbuka taarifa hii inaweza kuzua taharuki kwa jamii. Kama mlikuwa mnapiga story zibakie kuwa story usiziweke public. Ujifunze namna bora ya kutumia uhuru wako wa kujieleza. Ulitakiwa ushibitishe tetesi zako kwa njia sahihi ya kiofisi. Ndipo ulete humu
 
Na kwa jinsi tulivyo tutaishia kulalamika siku 3 then tunamwachia Mungu.

Hii Nchi aliyeturoga angefanya mpango atuzindue. Serikali Haina huruma na Wananchi wake
Mnaambiwa muwe na shukurani, hii nchi ni mali ya ccm mnayofanyiwa nyinyi ni huruma yao tu.
 
" UKIISHINDWA KAZI ACHIA MADARAKA"
°Umeme ndio chanzo kikuu kinachosababisha mnyonge ajipatie rizki.
°Umeme ndio unaosababisha ajira za wanyonge kwa asilimia 85.
°Umeme ndio kichocheo cha Uchumi wa micro industries, kinachoajiri watanzania wengi.
°Umeme usipokuwepo wa uhakika na wa bei nafuu taifa litakuja jiona kama limerogwa na linalaana kwa Uchumi wake kudumaa.
°Umeme ndio msingi wa maendeleo duniani kote na sio jambo la kulichezea chezea au kulichekea,endapo kama taifa linayo dhamira ya kweli.
°Umeme unapaswa kuwa ndani kitengo nyeti chini ya Usalama wa taifa. (pahala ambapo si pa kuchezewa).
::Angalia, na tujifunze kote duniani,
(STABLE COUNTRY HAS STABLE ELECTRIFICATION)
 
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january

Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa

Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena

Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake

My take: Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
Kwani hanganya alisema vipi alipoukua anaelezea kupanda bei Kwa vitu alisema vitu vitapanda sanaa Kwa hio tusishangae January na genge lake wakipandisha
 
Back
Top Bottom