Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mazer is zombiezKipara has no vision, so is maza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazer is zombiezKipara has no vision, so is maza!
Kipara ndio nani?? Ndiyo yule mboga ya taifa?Kipara anataka kununua Nyumba Marekani nini?
Kasi ya Nikonekt hiyo
Crocheted ndio nini mkuuNasubiri taarifa rasmi kabla sijasema crocheted.
Haiwezi kuwa rasmi.Nasubiri taarifa rasmi kabla sijasema crocheted.
Lissu alikupiga chini baada ya kukutoa usichana wako?Hiyo ndiyo furaha ya Lisu
Kiherehere cha simu tu mimi niliandika chochote.Crocheted ndio nini mkuu
Kweli tutakoma na hii PhD ya heshima ya uchumi!Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january
Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa
Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena
Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake
My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
Watuuuwe basi wafurahi, nimekaa na mnamba one hapa ananikopa 🤣🤣🤣🤣 na mie namuonesha hii threadKipara has no vision, so is maza!
Iwekwe makumbusho kwa matumizi ya vizazi vijavyo
Mungu hasikilizagi kilio Cha mjinga na mpumbavu.CCM CCM CCM, ipo siku Mungu atasikia vilio vyetu. Kupandisha kwa gharama za umeme inamaana na gharama za bidhaa zitaongezeka. Uwekezaji utapungua nchi itazidi kuwa maskini.
si ubaki na hizo tetes na mumeo.Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january
Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa
Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena
Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake
My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani