Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

Nawaza kuna haja ya mtu kufunga solar panel tu unavuna umeme wako wa jua wa kutosha! Ukijifungia na kagenerator kadogo in case solar ikizungua kazi imeisha!!

Huu ujinga sijui wanaupata wapi? Umeme wenyewe unapatikana kwa taabu tena watupandishie bei?

Tudai tu katiba mpya kuna haja ya viongozi kuwajibisha kwa kuwatesa watanzania!!
 
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january

Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa

Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena

Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake

My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
Kweli tutakoma na hii PhD ya heshima ya uchumi!
 
CCM CCM CCM, ipo siku Mungu atasikia vilio vyetu. Kupandisha kwa gharama za umeme inamaana na gharama za bidhaa zitaongezeka. Uwekezaji utapungua nchi itazidi kuwa maskini.
Mungu hasikilizagi kilio Cha mjinga na mpumbavu.

Kama mmekubali kutawaliwa na watu waliowaibia kura na mkakaa kimya unatarajia Mungu akusaidie Nini.
 
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january

Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa

Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena

Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake

My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
si ubaki na hizo tetes na mumeo.
umbea kwenye kigodoro
 
Bongo mtu anayeishi single room anatumia token za pesa ngapi kwa mwezi🤔? Mimi natoka nchi jirani na natumia token za karibu tsh 3,800 Kila mwezi.
 
Back
Top Bottom