Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

Tetesi: Bei ya kununua umeme kupanda kuanzia January unit kuuzwa 511

CCM CCM CCM, ipo siku Mungu atasikia vilio vyetu. Kupandisha kwa gharama za umeme inamaana na gharama za bidhaa zitaongezeka. Uwekezaji utapungua nchi itazidi kuwa maskini.
Hakuna MTU atayekuja kuwaokoa
 
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january

Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa

Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena

Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake

My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
Kama ndio hivyo huyu mama ovyo sana
 
Umeme hauwezi panda bei bila EWURA kutangaza kwenye magazeti ili wananchi wajadili.
Wakishajadili ndio maamuzi hufanyika

Na pia bei haiwezi kuwa hiyo milele
We jamaa unaongea nini?

Wakati bei ya Diesel/Petrol inapanda kutoka 2380 kwenda 3500 kwa Lita kumbe mwenzetu ulipewa nafasi ya kuipendekeza hiyo bei mpya?

Hongera kutufanya kupata Lita 3.11 kwa elfu 10 yetu Wakati zamani ilikuwa unapata Lita 5 kwa elfu 10
 
Hujui ulichoandika hizi ni hisia tu, alafu madeni ya Tanesco na tpdc yamehamishiwa serikalini
Serikali ipi sasa mzee? Wanaokopa ni kina nani?

Labda nikuulize tu, kati ya Bia na Umeme, kipi ni muhimu na chenye watumiajia wengi?

Kati ya umeme na sigara je?
Umeme na simu/mawasiliano?

Ni mtanzania yupi anayepewa umeme bure ukiacha wale wa unit 750 kwa mwezi?

Kwanini hao wengine woooote watengeneze faida kufuru, wauza umeme washindwe?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Na kwa jinsi tulivyo tutaishia kulalamika siku 3 then tunamwachia Mungu.

Hii Nchi aliyeturoga angefanya mpango atuzindue. Serikali Haina huruma na Wananchi wake
 
Kwa uchumi ulivyoimarika kwa sasa bado ndogo sana
 
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january

Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa

Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena

Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake

My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
Ulaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]chadema wamefurahi sana sukuma gang kukomolewa kwa kupandishiwa umeme[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mtu anamchonganisha mama na wanachi waziwazi na maza hajastuka mchongo
 
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january

Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa

Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena

Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake

My take: Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
Kwa hiyo hapa unataka tujadili tetesi?
 
Back
Top Bottom