Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Maajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei inapopanda haraka sana wanapindisha inshort tokea April Bei ilikua imeanza kushukaKwani hukumsikia mkurugenzi anasema bei ya mafuta ya sasa imetokea baada ya kununua mafuta ya mwezi June ambayo ndio yanayouzwa mwezi huu wa 7 hivyo bei ya mafuta itashuka baada ya wao kununua mafuta ya mwezi wa 8 yatakayouzwa September
Halafu mkutano walifanya Serena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bongo nyoso
Hawa watu wa ajabu Sana, kwanini wakati vita ya Ukraine na Russia inaanza bei za mafuta walipandisha na wakati mafuta yalinunuliwa kabla ya kupanda bei?Kwani hukumsikia mkurugenzi anasema bei ya mafuta ya sasa imetokea baada ya kununua mafuta ya mwezi June ambayo ndio yanayouzwa mwezi huu wa 7 hivyo bei ya mafuta itashuka baada ya wao kununua mafuta ya mwezi wa 8 yatakayouzwa September
Halafu mkutano walifanya Serena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bongo nyoso
2025!Maajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda
Na hapo bilion 100 za ruzuku ilianza mwez wa 6 na kutuambia mwezi huo bei ingeenda juu zaidi ila bilion hzo ndo zimepunguza gharama. Sa hv yashuke watuambie ni ya mwez wa 6Kwani hukumsikia mkurugenzi anasema bei ya mafuta ya sasa imetokea baada ya kununua mafuta ya mwezi June ambayo ndio yanayouzwa mwezi huu wa 7 hivyo bei ya mafuta itashuka baada ya wao kununua mafuta ya mwezi wa 8 yatakayouzwa September
Halafu mkutano walifanya Serena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bongo nyoso
Msipende kupotosha,wamesema mwezi ujao mafuta yatashuka ila haya yanayotumika sasa yalinunuliwa kipindi Bei ikiwa juu.Maajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda
HAHAHAA! Bilion 100 zilipoanza tukasena hv bilion ndo haka kapunguzo, jibu lilitoka kuwa bei ilistahili kupanda zaidi sku hiyo maana soko la dunia 1.6.2022 bei ilipanda. Sa hivi yameshuka mnakuja na ngonjera eti ni ya mwez wa 6 huko 😁Msipende kupotosha,wamesema mwezi ujao mafuta yatashuka ila haya yanayotumika sasa yalinunuliwa kipindi Bei ikiwa juu.
Ndio jibu hilo,wewe unataka jibu gani?HAHAHAA! Bilion 100 zilipoanza tukasena hv bilion ndo haka kapunguzo, jibu lilitoka kuwa bei ilistahili kupanda zaidi sku hiyo maana soko la dunia 1.6.2022 bei ilipanda. Sa hivi yameshuka mnakuja na ngonjera eti ni ya mwez wa 6 huko 😁
Wapuuzi sana.Ndio jibu hilo,wewe unataka jibu gani?
Haitakusaidia,jibu ndio hilo.Wapuuzi sana.
Mwingine anatuambia mpaka Vita vya Urusi na Ukraine viishe nchi kwa UONGO HIIMaajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda
Nimeona mahali umesema zambia, rwanda n.k bei ni 4000 za kitanzaia. Yaani mnajazana uongo dunia ya leo. Kenge nyie kuna siku mtalipia.Haitakusaidia,jibu ndio hilo.
Acha upumbavu mkuu, hii ni serious issue mkuu, yanapopanda yanapanda straight, Zambia bei mpya kuanzia 3rd August na bei chini, huu ni uzuzuMsipende kupotosha,wamesema mwezi ujao mafuta yatashuka ila haya yanayotumika sasa yalinunuliwa kipindi Bei ikiwa juu.
Unawaskilizaga EWURA? laanatulMaajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda