Bei ya mafuta soko la dunia imeshuka chini ya Dollar 90 Kwa pipa moja Ila EWURA wanasema imepanda

Bei ya mafuta soko la dunia imeshuka chini ya Dollar 90 Kwa pipa moja Ila EWURA wanasema imepanda

Maajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda

View attachment 2315145
Wewe fuatilia kinacho endelea kwa sasa ndani ya nchi hii kila aina ya uhuni umerudi na kutamalaki chini ya SAMIA SULUHU HASSAN,wingi wa vituo vya mafuta vinavyojengwa kwa sasa ni ishara tosha kuwa kundi Fulani limeamua kutesa watanzania.Sijui labda MUNGU Ataamua,tusubiri.
 
Hata Sasa hivi mafuta yakipanda kwenye soko la Dunia usiku huu na haya Mafuta yaliopo Nchini nayo yatapanda hapohapo!!
Najiuliza kati ya sisi na viongozi nani misukule
 
Wewe fuatilia kinacho endelea kwa sasa ndani ya nchi hii kila aina ya uhuni umerudi na kutamalaki chini ya SAMIA SULUHU HASSAN,wingi wa vituo vya mafuta vinavyojengwa kwa sasa ni ishara tosha kuwa kundi Fulani limeamua kutesa watanzania.Sijui labda MUNGU Ataamua,tusubiri.
Bei mpya Hadi Leo kimya
 
Bei mpya Hadi Leo kimya
Hakuna cha Ewura bei mpya ya mafuta wala nn ni michezo ya watu Fulani wapiga deal,mafisadi ambao siku zote ndio wameendelea kufilisi Taifa la Tanzania na kuwatesa watanzania jinsi watakavyo.
 
Fursa hizo za watu WALICHANGIA pesa za kuandaa ROYAL TOURS DOCUMENTARY.

Na wanapenda vita iendelee watupige parefu.

We uoni VITUO VYA MAFUTA vinajengwa kwa fujo, sheria sijui kituo kiachane hatua fulani hapana sasa hivi.
 
Back
Top Bottom