Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wako wa kuchakata vitu ni mdogo kama pilton. Unaweza onyesha wapi nimeongelea habari ya Muungano? Na kuhusu issue unayojaribu kuongelea kwamba mafuta ni si suala la Muungano, hiyo ni habari ya mafuta ghafi kwa maana ya (oil and gas drilling and extraction) Swali langu lilikuwa Zanzibar wanatoa wapi mafuta ambako Tanzania Bara hawawezi kwenda kununua na kushusha gharama? Bara mafuta yanaelekea elfu nne huku zanzibar tunauzia mafuta kwa Tsh 2980/= ni sahihi?Mafuta sio swala la muungano,kila Nchi ina sera tofauti,Bara kuna Kodi za miradi ya barabara,reli,Rea,Tarura nk kwenye mafuta.
Acha wivu mkuu...kamba yako fupi vumiliaKwani hukumsikia mkurugenzi anasema bei ya mafuta ya sasa imetokea baada ya kununua mafuta ya mwezi June ambayo ndio yanayouzwa mwezi huu wa 7 hivyo bei ya mafuta itashuka baada ya wao kununua mafuta ya mwezi wa 8 yatakayouzwa September
Halafu mkutano walifanya Serena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bongo nyoso
Umeshawahi kujiuliza Uhusiano kati ya Kasi ya utitiri wa vituo vya mafuta vipya hasa mijini na hiki ulichosema? Unganisha dotsMaajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda
View attachment 2315145
Wewe mara nyingi nakuaambia akili hauna. Unafanya wote tulio pro-government kuonekana hatuna akili.Mafuta sio swala la muungano,kila Nchi ina sera tofauti,Bara kuna Kodi za miradi ya barabara,reli,Rea,Tarura nk kwenye mafuta.
Na yale yaliyouzwa kwa bei ya juu mwezi wa 3 yalinunuliwa mwezi wa ngapi?Msipende kupotosha,wamesema mwezi ujao mafuta yatashuka ila haya yanayotumika sasa yalinunuliwa kipindi Bei ikiwa juu.
Mbona hizi statements huwa hazipo kwenye upandishaji bei?Kwani hukumsikia mkurugenzi anasema bei ya mafuta ya sasa imetokea baada ya kununua mafuta ya mwezi June ambayo ndio yanayouzwa mwezi huu wa 7 hivyo bei ya mafuta itashuka baada ya wao kununua mafuta ya mwezi wa 8 yatakayouzwa September
Halafu mkutano walifanya Serena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bongo nyoso
CCM wanajua watanzania wote ni wajingaMaajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda
View attachment 2315145
Watakwambia itashuka baada ya miezi 3 ndiyo wameagizaEwura mbona kimyaaa, bei mpya vipiii
Hatari snHii nchi ni laughstock ya africa
Bei isiposhuka patachimbikaWatakwambia itashuka baada ya miezi 3 ndiyo wameagiza
Utaratibu wa kishamba Sana huo, waubadilishe asapUnapaswa kujua kuwa bei ya mafuta na mafuta tunayotumia huwa ni yaliyoagizwa miezi mitatu nyuma kwa mujibu wa utaratibu wa uagizaji wa mafuta wa pamoja unaoratibiwa na EWURA. Bei mpya impact yake unaweza kuiona miezi mitatu mbele
VP kwa Zanzibar mbona mafuta yao bei IPO chini kuliko sisiUnapaswa kujua kuwa bei ya mafuta na mafuta tunayotumia huwa ni yaliyoagizwa miezi mitatu nyuma kwa mujibu wa utaratibu wa uagizaji wa mafuta wa pamoja unaoratibiwa na EWURA. Bei mpya impact yake unaweza kuiona miezi mitatu mbele
Ukitaka kufuatilia mambo ya wazanzibari utaumia kichwa comred imekaa kimuungano zaidi ili kuibeba/kuifavour zenji in terms of GDP. Bei ya vitu vingi kule iko chini ni kama tax free haven flani vile. Hata hivyo serikali inafanya hivyo kutokana na kipato cha watu wa zenji.VP kwa Zanzibar mbona mafuta yao bei IPO chini kuliko sisi
Hata Sasa hivi mafuta yakipanda kwenye soko la Dunia usiku huu na haya Mafuta yaliopo Nchini nayo yatapanda hapohapo!!Mbona hizi statements huwa hazipo kwenye upandishaji bei?
Nchi imepigwa albadir hii
Wata shusha shiling mia usijali!!Bei isiposhuka patachimbika