Bei ya mafuta yapanda maradufu. Petroli bei yaongezeka kwa kati ya Tsh. 100 - 321

Bei ya mafuta yapanda maradufu. Petroli bei yaongezeka kwa kati ya Tsh. 100 - 321

nooh.png

Utaua Watoto Samia.
 
Itafikia hatua hadi wale "ball boys" aka wazee wa mapambio pumzi itakata.

Imagine COVID-19 ingemkuta huyu ndiyo yupo kwenye usukani.

Wenye nyumba huu ndiyo muda wake sasa,pandisheni ren au hamjui kuna vita Ukraine.

TABOA hakikisheni nauli zinapanda kisawasawa ikishindikana egesheni magari yard.

Wafanyakazi jiandaeni kwa migomo baada ya Mei mosi maana hadithi ni ileile ya Ukraine na hataki nidhamu ya uoga.

Acha inyeshe tujue panapovuja.
 
Njia ya kukwepa adha kama hii ni kuzisaka pesa tu ili yakitokea kama hv maumivu yatakuwa madogo sana, lkn wewe endelea kulastori kijiweni alafu uishie kupiga kelele tu. Serekali Ina mdomo tu lakini Haina masikio. Nafikiri tumeelewana
Nakereka na kauli zenu za kusaka pesa tu kivip yaani Kaz tunafanya uski na mchna ila baro naumia na Bei za mafuta
 
Binafsi sijuti kwani sikuwahi kuichagua ccm, naona sawa tu,kwani niliamini hawawezi,kunachotokea ndicho nilichokitarajia kama wangeshinda.
Wacha tuipate,laana ya kumtegemea mtu. Yer17:5.
 
Mm mwaka 2020 na mwishoni 2021 nilikuwa nanuna Lita moja ya deseli kwa 1621 hapa dsm nilikuwa najaza Lita Mia kwenye kalorry .OMG late CEO nitamkubmbka daima mnk hakutaka kutuvyonza na kuchukua hell kweny mafuta ya dhuluma ktk kipindi hicho ambacho hata yey angetaka kukusanya 200 kwa kila Lita hajashindwa ila mafuta yaliporomoka haswa

HV hz tozo zaid ya 20 kweli serekali haiwezi kuangallia namna wazitishe ili kutizama Hali ilivyo na badae kurudisha tu unamuuziaje mtz Lita 2905 hp dsm au 3000 huko mwanza

Mnk sass nitakuwa naenda makumbusho kwa shiling 700 kutka Happ karume
 
Hiki ndo alikuwa anakitafuta chifu hangaya, nafikiri tozo yake ya shilingi 100 ataendelea kuifaidi huku wananchi maskini wakizidi kuugulia maumivu, miaka tisa tena kwa mama akeee.....
 
Nikikumbuka few years back Petrol tulikuwa tunaweka kwa 1860, nabaki najisemea hiiiiiiiiiiiii!!!
Mbaya income bado ni ileile tangu kipindi kile....
 
Back
Top Bottom