red apple
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 778
- 1,212
Hehee engene kiuonooNi mwendo WA kununua baiskeli tuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehee engene kiuonooNi mwendo WA kununua baiskeli tuuuuu
Hata weweItoshe kusema tu kuwa serikali inakwama pakubwa kwenye mambo ya msingi.
Ili kuficha aibu yao wanamkandia Magufuli.
They have totally failed to deliver any tangiable results.
Usisahau serikali ina kodi mbalimbali 20 kwenye petrol, diesel, na mafuta ya taa.
Ccm hoyeee.. Kama hautaki hamia burundi.
Mkuu hii kupiga mihuri ndo kitu gani..Wenye matukutuku waamue moja, kupaki na kupiga mihuri au kuendelea kulipa 2,861 kwa Lita moja.
Too much!!
Itatesa kama hujazoe kero za kupanda daladala ni hatari.Hii vita itatafutiwa visingizio hata visivyo ihusu.
Waliozoea magari sijui itakuaje ukimwambia apande daladala.
Bei ya dollar 2012 ilikuwa 1585Hii bei ya soko la dunia ya sasa iliwahi kuwepo 2012, Ila mafuta mbona hatukununua 2800+?? Kuna shida tu mahali
Safi sanaUtayakuta sasa hayo mafuta? Huku nilipo kila kituo kinadai wameishiwa. Mafuta, ila najua usiku saa saba yatakuwepo kwa bei mpya
HahahaNgondi ni neno la kisukuma, linamaanisha "Mkundu"
Ndio ulichomaanisha?
Hilo ndiyo suluhisho sasawatumiaji wa vyombo vya moto onyesheni mfano kwa kufanya mgomo....pakini magari tembeeni kwa mguu au muanze utaratibu wa kushare magari....kama mko ofisini mnaisha Karibu karibu mnashare gari hata watano ...
Idadi ya magari ikipungua barabarani wahusika watakuna vichwa...
Eh mm nlijua mafuta bongo asilimia kubwa yanatoka gulf hukoYoote hii ni kiherehere cha Marekani na Nato
Tulishaachana kutumia magari mzeeAcheni uchawi nyie watembea kwa miguu
Safi hiyokesho na paki gari