Iko hivi 2540 + 100(tozo) + Ongezeko la mwezi April= 2861(Dar)Ikiwa sh 100 ilipigiw bajeti tayari, hii 200 ya sasa ilikuwa kwenye bajeti gani? Na hii bei mpya ya kila mwezi, ni utaratibu wa dunia nzima?
Vp swali la nyongezaIko hivi 2540 + 100(tozo) + Ongezeko la mwezi April= 2861(Dar)
Mama anaupiga mwingi mnoπ twendeni na mama hadi 2040 kabisaUzuri ni kuwa Ccm wana bei zao nafuu katika sheli zao!! Waendelee kusema anaupiga mwingi
View attachment 2176810
Hii kitu nimeipenda bule maana mama yupo kazini[emoji26][emoji26]Mkoani itakua 3000+, Safi kabisa
Ifikie wakati mjifunze kuwa Tesla anaweza kuwa mkomboziπ kwa maisha ya sasa na yajayo! Kama hutaki wahi NIT mabibo ukafunge mtungi wa Oryx kwenye butiDawa kununua gari au pikipiki za umeme tu
Na hili ndio lengo la mrusiπ kama ambavyo yeye kanyimwa coke na kuku wa kfc ili afya yake iimarikeπSafi sana watu sasa hivi watembee magonjwa ya kujitakia ni mengi watu wafanye mazoezi kwa kutembea siyo kuendekeza anasa.
Hii bei ya mafuta kupanda ni a blessing in disguise kwasababu afya za watu wengi zitaimarika kama siyo kutembea ni kununua baiskeli
Mimi mwenyewe Nilijua Imefika 5,000 kumbe Bado[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilijua imefika 10,000/=
Mafuta yapo ila inasubiriwa saa 6 usiku ili stock iliopo iuzwe kwa faida madhubuti kabisaπHuku bagamoyo kuna sheri hakuna mafuta k as bisa yaani.
Kama unaweka mafuta ya elfu kumi kumi sio shida ila kwa mtu mwenye kuweka litre 100 kila week unaliona dogo hilo
Hatali Sana. Tumuongezee miaka 20 mbele yupo vizuli Sana [emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]Mama anaupiga mwingi,haijawahi kutokeoa hii,ana kumi yake bila kushirikiana na mtu,
Huyu mtu nashukuru zama za Covid-19 alikuwa yuko kupokea commands za kidume jpm. Laiti angekuwa kwenye usukuani hata ule unafuu tuliopataga usingekaa kuwepo. Mafuta tunachukulia uarabuni ila tunaingizwa kwenye mkumbo wa marekani na ulaya.Itafikia hatua hadi wale "ball boys" aka wazee wa mapambio pumzi itakata.
...
Eh mm nlijua mafuta bongo asilimia kubwa yanatoka gulf huko
Ova
Hii sikua nayo kumbe tulirudishwa..... Afu tulipandishwa kwa uwezo wa nani?! Baadae tutarudi kwa jinsi gani!!? Dah full danadanaπππView attachment 2176814
Si tuna pangwaView attachment 2177279Napata ugumu kuelewa mafuta yanakuaje juu wakati hatuagizi urusi wala ulaya? India ananunua in cheap price sahizi direct from Russia tofauti na ilivyokuwa awali kipindi ananunulia Marekani. Alternatively tunanunua wese kwa warabu.
Whats up yani sielewi tunaumizwa sababu gani?
AsanteItoshe kusema tu kuwa serikali inakwama pakubwa kwenye mambo ya msingi.
Ili kuficha aibu yao wanamkandia Magufuli.
They have totally failed to deliver any tangiable results.
Mkuu tutachoka mno, hiyo 2040 wengine tutakuwa wazee tayari, tafadhali bwana!!πMama anaupiga mwingi mnoπ twendeni na mama hadi 2040 kabisa
Mama aachwe apige kazi mkuuMkuu tutachoka mno, hiyo 2040 wengine tutakuwa wazee tayari, tafadhali bwana!!π