Bei ya mahindi Handeni zinashangaza

Bei ya mahindi Handeni zinashangaza

nauza mahindi meupe,
bei 550 @kg
yapo iringa-ipogolo, umbali wa nusu kilometa kutoka stand ya ipogolo.
mahnd ni mapya sijayapiga dawa
Nina tani 15
karibuni.
Hio bei ya daslama kijana. Iringa saivi bei ni 400@kg , bei ya juu sana hio.
 
Morogoro. Shambani tunachukua kwa 74k maana wanunuzi wa dar washavamia, tunaongeza 3k to 5k kufaulisha. Hakuna hata faida kubwa. Basi tu tunakimbizana na mzunguko.
Ukienda Songwe, Mpanda, Rukwa, n.k ukatangaza unanunua kwa 60,000 ndani ya siku moja utajizolea matani mpaka uvimbiwe
 
Morogoro. Shambani tunachukua kwa 74k maana wanunuzi wa dar washavamia, tunaongeza 3k to 5k kufaulisha. Hakuna hata faida kubwa. Basi tu tunakimbizana na mzunguko.
Yani Gunia tsh 74,000?
La debe saba au Sita
 
Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,

Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.

Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?

Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
Mkuu Kwa Sasa mahindi yamesimama na bei ya sh ngapi huko?
 
Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,

Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.

Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?

Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
Being za msimu hizo
 
Back
Top Bottom