Huko pombe Lita shilingi ngapi?Tarafa ya mpepo- nyasa-ruvuma kijiji kinaitwa Malungu.
Huko duniani unakokusema hali ikiwa hivyo wakulima hufidiwa na pia kurahisishiwa hali ya pembejeo kwa serikali zao kutia ruzukuIkumbukwe kuwa mazao makuu ya chakula hayapaswi kufanywa mbadala kuwa mazao ya Biashara, siku zote yanapaswa kuwa chini sana ndio maana serikali kote Duniani hufanya kila mbinu kusaidia uzalishaji kuwa rahisi ili kupunguza ukali wa maisha watu wafikirie maendeleo sio chakula tena.
JESUS!Huku kwetu kilo 170/=,yaani gunia la kilo 100 17,000/=,HAPA KAZI TU.....
Malombi andeeTarafa ya mpepo- nyasa-ruvuma kijiji kinaitwa Malungu.
Wapi huko mkuu ninataka gunia 5Huku niliko kilo 230 gunia lan kilo 100 ni 23,000/-
Bei ya gunia haiwezi kuzidi shilingi mia tano (500/=).Kwa Dar gunia sh ngapi? Nataka gunia tano wakuu za kula
0716 282670
hahahaha nimecheka sana mkuu sasa huoni kuwa tutatengeneza taifa la walevi???!!Mmetucheka sana tuliolima mbaazi tukauza sh. 150/= kwa kilo, sasa ni zamu yenu, hayo mahindi tengenezeni pombe
HAHAHAHAHAHAHAHAAAAAAKwahiyo unataka tukuuzie gunia 200/= ilihali tumetumia gharama kubwa kwenye uzalishaji??Umeipa kazi ya bure shingo yako kubeba TIKITI MAJI badala ya kichwa!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mahindi sio kama NYANYA.. cha kufanya wakulima walio katika UNIONS.. wajikusanye waamue KUWEKA ndani mazao yao.. yakiadimika mtaani waanze kuyaachia kwa mlolongo ulio sahihi ili ku stablize price..Za jioni wandugu, naomba tushirikiane kuwaonea huruma wakulima mazao yanashuka bei ilhali pembejeo bei iko juu. Mliokaribu na wanasiasa washitueni 2020 sio mbali
Wapi hukoSisi ni elf kumi debe
Wapi huko tudokeze tuvamieZa jioni wandugu, naomba tushirikiane kuwaonea huruma wakulima mazao yanashuka bei ilhali pembejeo bei iko juu. Mliokaribu na wanasiasa washitueni 2020 sio mbali