Bei ya sukari Tanzania ni zaidi ya 3000 wakati Msumbiji, Malawi, Kenya, Uganda na Zambia haizidi 2500. Kwani sisi dhambi yetu nini?

Bei ya sukari Tanzania ni zaidi ya 3000 wakati Msumbiji, Malawi, Kenya, Uganda na Zambia haizidi 2500. Kwani sisi dhambi yetu nini?

Sio siri hili jambo linaniumiza sana moyo wangu sijui kuna ushirikina gani kwenye suala la sukari hapa nchini kwetu.

Maana licha ya kuwa tuko jirani na bahari kuu tuna ardhi nzuri na tuna kila fursa ya kunufaika kuliko majirani zetu lakini bado tunapata mateso ya kununua sukari kwa gharama kubwa kuliko jirani zetu wote.

Tangu nakua mpaka sasa ni mtu mzima mwendo ni uleule nakumbu ka nilisoma na jamaa mmoja alikuwa akienda na baiskeli kuchukua sukari za magendo Zambia na kuiuza Tanzania Kisha analipa ada.

Ndugu zangu wafanya maamuzi hebu kuweni serious basi.

Pia, soma=> Munde Tambwe: Kwanini Tanzania Bei ya Sukari ni kubwa kuliko Zambia, Malawi na Rwanda? Kuna Tatizo mahali tuambiane ukweli!
Ufisadi.
Vibali vya kuagiza sukari wanapewa hao hao wanaoshindwa kuilisha nchi na sukari wanayozalisha hapa ndani. Kwanini sukari isiagizwe tu kama nguo?
Mnalinda viwanda vya ndani, viwanda mnavilinda miaka kibao havibadiliki vya nini sasa?
Bashe na genge lake wamekumbatia wahindi wanaendelea kuwatajirisha huku wao wakipokea bahasha.
 
Hivi bado mna hangaika na sukari
Dada yangu kipenzi
Mimi binafsi nna matumizi madogo sana ya sukari,kg1 naweza kaa nayo hata miezi 2

Ova
Nadhani huelewi matumizi mapana ya sukari sukari inayotumika kwenye matumizi nje na chai na uji huenda ni makubwa zaidi kuna bidhaa nyingi sana unazotumia ambazo bila sukari huwezi kuzipata hivyo sukari ikipatikana kwa gharama nafuu itachochea nazo zishuke bei
 
Sio siri hili jambo linaniumiza sana moyo wangu sijui kuna ushirikina gani kwenye suala la sukari hapa nchini kwetu.

Maana licha ya kuwa tuko jirani na bahari kuu tuna ardhi nzuri na tuna kila fursa ya kunufaika kuliko majirani zetu lakini bado tunapata mateso ya kununua sukari kwa gharama kubwa kuliko jirani zetu wote.

Tangu nakua mpaka sasa ni mtu mzima mwendo ni uleule nakumbu ka nilisoma na jamaa mmoja alikuwa akienda na baiskeli kuchukua sukari za magendo Zambia na kuiuza Tanzania Kisha analipa ada.

Ndugu zangu wafanya maamuzi hebu kuweni serious basi.

Pia, soma=> Munde Tambwe: Kwanini Tanzania Bei ya Sukari ni kubwa kuliko Zambia, Malawi na Rwanda? Kuna Tatizo mahali tuambiane ukweli!
Mwigulu
 
Hiyo koka kola dollar ngapi ukiichenji unapata shilling ngapi hapa bo

Hiyo koka kola dollar ngapi ukiichenji unapata shilling ngapi hapa bongo ?
Huyu wa kumhurumia tu kujaribu kujilinganisha na marekani ni kupoteza ladha ya mjadala hao tunatofautiana vitu vingi kwa mbali sana mf ardhi tunayotumia kulima miwa ili upate malighafi ya viwanda kwa hapa Tz utaipata kwa mwaka hata laki 5 kwa heka 1 niambie utaikodi kwa sh ngapi huko us
 
Back
Top Bottom