Bei ya sukari yaanza kupaa na bei ya unga yazidi kuongezeka

kilo zaidi ya elfu 4. haipatikani.

mtaani kwako hali ikoje!?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi maccm wakienda dukani wanapata nafuu ya bei? Maana kusifia hadi kero!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…