Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Sababu ni niniInaendelea kwenye 4000
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ni niniInaendelea kwenye 4000
Jr[emoji769]
Chumvi ilianza kupanda toka mwaka jana mwishoni.Hata chumvi pia imepanda bei
Hahah yule jamaa ni liongo sana. Alipo ingia sukari ilikua 1500Hii mbona sio baalaa chochote, kuna mtu alipoingia alikuta sukari kilo ni TZS 5,000 na watu hatujalalamika, hiyo 3,600 tuu wawe unalalamika, ingekuwa 5,000 jee?, si ungepiga mayowe?.
P
Hata hapa mzinga 3,000/ chapeni kazi ninyi WANYONGE,acheni maneno,mkiona bei juu limeni miwa.
Makocho,Mandela sukari bei cheeeeInaendelea kwenye 4000
Jr[emoji769]
Kaka Pascal Mimi sisemi. Usije kukalia kile kipindi chako Cha wakati ulee...kule CHANNEL TEN.Hii mbona sio baalaa chochote, kuna mtu alipoingia alikuta sukari kilo ni TZS 5,000 na watu hatujalalamika, hiyo 3,600 tuu wawe unalalamika, ingekuwa 5,000 jee?, si ungepiga mayowe?.
P
Kaka Mshana hii Serikali sijui ikoje.Inaendelea kwenye 4000
Jr[emoji769]
Duh...!.Hii mbona sio baalaa chochote, kuna mtu alipoingia alikuta sukari kilo ni TZS 5,000 na watu hatujalalamika, hiyo 3,600 tuu wawe unalalamika, ingekuwa 5,000 jee?, si ungepiga mayowe?.
P
Enzi hizo wakitangaza mpira na akina jongo na yule mtangazaji alie Muona fumo felisian akienda kufunga goli la nane. Ila mchezaji mzee MEKO wa bush star ni hatarDuh...!. we unamuita liongo, hili ni jina la mshikaji wangu Aboubakary Liongo.
P
Hyo Bei ni mkoa gani mkuu na apo awali ilikuwa sh ngapi..?
20 bucksDuuuh $2= tsh 4,629.04 apo awali ulikuwa ununu sh ngap mkuu..?