Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

Dar hapa bei ya tango sio poa

Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu

Matango Yana kazi nyingine huko Dar

Matango yanaadimika au be mkasi

Matango hayapendwi na watoto na watu wengi

Huwezi kula tango zaidi 1

Kwanini bei iwe kubwa hivi

Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine

Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Shida ya kuishi ushuwani, stereo yamejaa hiyo 1000 unapata 4 au 5, mbande hapo nimeenda yapo kama utitiri. Kaeni uswazi mtakufa kwa utapia mlo.

Nimenunua fenesi la buku 2 zimaa, nimekula mpka nimeliangalia, eti kariakoo vitunda 10 sijui 20 buku aiiii!! Kisa vipo kwenye kopo.
 
Shida ya kuishi ushuwani, stereo yamejaa hiyo 1000 unapata 4 au 5, mbande hapo nimeenda yapo kama utitiri. Kaeni uswazi mtakufa kwa utapia mlo.

Nimenunua fenesi la buku 2 zimaa, nimekula mpka nimeliangalia, eti kariakoo vitunda 10 sijui 20 buku aiiii!! Kisa vipo kwenye kopo.
Mbagala wanakata kipande Cha tango mia tu
 
Demu wangu yule mkinga nilimkuta na matango kwenye mafriji yapo mengi sana ila naskia yanasaidia sana kuwapa utelezi kule sehemu pendwa
 
Dar hapa bei ya tango sio poa

Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu

Matango Yana kazi nyingine huko Dar

Matango yanaadimika au be mkasi

Matango hayapendwi na watoto na watu wengi

Huwezi kula tango zaidi 1

Kwanini bei iwe kubwa hivi

Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine

Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Ila wejamaa wa yanga bhana..
 
Dar hapa bei ya tango sio poa

Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu

Matango Yana kazi nyingine huko Dar

Matango yanaadimika au be mkasi

Matango hayapendwi na watoto na watu wengi

Huwezi kula tango zaidi 1

Kwanini bei iwe kubwa hivi

Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine

Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi u

Dar hapa bei ya tango sio poa

Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu

Matango Yana kazi nyingine huko Dar

Matango yanaadimika au be mkasi

Matango hayapendwi na watoto na watu wengi

Huwezi kula tango zaidi 1

Kwanini bei iwe kubwa hivi

Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine

Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Siasa ina athari kubwa kwenye mfumo wa maisha ya mtu wa kawaida katika maisha ya kila siku kwa njia mbalimbali, ikiwemo:

1. Uchumi na Ajira: Sera za kisiasa, kama kodi, ruzuku, na sheria za ajira, huathiri uchumi wa nchi. Hali ya kisiasa inaweza kuathiri upatikanaji wa ajira, kiwango cha mishahara, na gharama za maisha kwa ujumla.

2. Huduma za Kijamii: Serikali, kupitia siasa, huamua kiwango cha uwekezaji kwenye huduma za msingi kama elimu, afya, usafiri, na usalama wa jamii. Hali hii inaweza kuboresha au kudhoofisha maisha ya mtu wa kawaida.

3. Uhuru na Haki za Kiraia: Mfumo wa kisiasa huamua uhuru wa mtu binafsi, haki za kiraia, na usawa wa kijinsia. Utawala wa kidemokrasia unaweza kulinda haki za watu, ilhali mfumo wa kiimla unaweza kuzizuia.

4. Utulivu wa Kisiasa na Usalama: Migogoro ya kisiasa au ukosefu wa utulivu wa kisiasa huathiri maisha kwa kusababisha hofu, ghasia, na hata kuhama makazi. Utulivu wa kisiasa ni muhimu kwa maisha ya kawaida na maendeleo.

5. Bei za Bidhaa na Huduma: Sera za biashara na ushuru zinazoamuliwa kisiasa zinaweza kuathiri bei za bidhaa na huduma, na hivyo kuathiri uwezo wa mtu wa kawaida kumudu mahitaji ya kila siku.

6. Mazingira na Maliasili: Sera zinazohusu mazingira na matumizi ya maliasili, kama kilimo na nishati, huathiri maisha ya watu, hasa wale wanaotegemea rasilimali hizo kwa kipato.

7. Elimu na Ajira kwa Vijana: Siasa huathiri uwekezaji katika elimu, fursa za mafunzo, na mpango wa ajira kwa vijana, jambo ambalo linaweza kuchochea maendeleo ya kizazi kipya au kuwakwamisha.

Kwa ujumla, siasa inagusa karibu kila kipengele cha maisha, na hivyo ni muhimu kwa raia wa kawaida kuwa na ufahamu wa masuala ya kisiasa ili waweze kushiriki kikamilifu na kudai haki zao.
 
UZI unaukakasi ila umepata watu wengi sana kutokana na matatizo kiukweli mimi siwezi nunua tango 😂 afu nikalila hadharani kama zamani kila nikiliangalia naona movie zile wanazoigiza nalo inapita kichwani sijui tumeelewana tuishie apa
 
Back
Top Bottom