Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Tufaa🍎🍎🍎Nini ambacho ni Bei rahisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufaa🍎🍎🍎Nini ambacho ni Bei rahisi?
Shida ya kuishi ushuwani, stereo yamejaa hiyo 1000 unapata 4 au 5, mbande hapo nimeenda yapo kama utitiri. Kaeni uswazi mtakufa kwa utapia mlo.Dar hapa bei ya tango sio poa
Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu
Matango Yana kazi nyingine huko Dar
Matango yanaadimika au be mkasi
Matango hayapendwi na watoto na watu wengi
Huwezi kula tango zaidi 1
Kwanini bei iwe kubwa hivi
Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine
Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Mtoto ana balaa huyu 🙌Tena anashuhudia Hawezi kula tango zaidi ya moja.😁
Tango lenye misuli.Mtoto ana balaa huyu 🙌
Bado kusema anataka tango kubwa kubwa 😂
Mtoa mada anapoelekea sipo kabisa, MwanaJF tumuokoeTango lenye misuli.
Ngoja tuone Tango linamfikisha wapi ?Mtoa mada anapoelekea sipo kabisa, MwanaJF tumuokoe
Litamfikisha kileleni 🙌Ngoja tuone Tango linamfikisha wapi ?
Sasa hivi tunapigwa Ban😂😂Litamfikisha kileleni 🙌
Mbagala wanakata kipande Cha tango mia tuShida ya kuishi ushuwani, stereo yamejaa hiyo 1000 unapata 4 au 5, mbande hapo nimeenda yapo kama utitiri. Kaeni uswazi mtakufa kwa utapia mlo.
Nimenunua fenesi la buku 2 zimaa, nimekula mpka nimeliangalia, eti kariakoo vitunda 10 sijui 20 buku aiiii!! Kisa vipo kwenye kopo.
Ongezea na kigamboni miambili hapaMbagala wanakata kipande Cha tango mia tu
Mm nimemaliza 😂Sasa hivi tunapigwa Ban😂😂
Tiba nzuri ya acid reflux inasaidia kuneutralize acid tumbonDemu wangu yule mkinga nilimkuta na matango kwenye mafriji yapo mengi sana ila naskia yanasaidia sana kuwapa utelezi kule sehemu pendwa
Ila wejamaa wa yanga bhana..Dar hapa bei ya tango sio poa
Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu
Matango Yana kazi nyingine huko Dar
Matango yanaadimika au be mkasi
Matango hayapendwi na watoto na watu wengi
Huwezi kula tango zaidi 1
Kwanini bei iwe kubwa hivi
Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine
Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Nilikuwa sijui ndugu yanguTiba nzuri ya acid reflux inasaidia kuneutralize acid tumbon
Wasisitize vijana.Mm nimemaliza 😂
Dar hapa bei ya tango sio poa
Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu
Matango Yana kazi nyingine huko Dar
Matango yanaadimika au be mkasi
Matango hayapendwi na watoto na watu wengi
Huwezi kula tango zaidi 1
Kwanini bei iwe kubwa hivi
Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine
Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi u
Siasa ina athari kubwa kwenye mfumo wa maisha ya mtu wa kawaida katika maisha ya kila siku kwa njia mbalimbali, ikiwemo:Dar hapa bei ya tango sio poa
Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu
Matango Yana kazi nyingine huko Dar
Matango yanaadimika au be mkasi
Matango hayapendwi na watoto na watu wengi
Huwezi kula tango zaidi 1
Kwanini bei iwe kubwa hivi
Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine
Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Kumbee eeh!! Sasa anasemaje yameadimika wakati sie tunayaona yapo telee.Mbagala wanakata kipande Cha tango mia tu
Na pia linaondoa sumu mwilini , ukila ule na maganda yake ndo Bora zaidi.Nilikuwa sijui ndugu yangu