Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

Dar hapa bei ya tango sio poa

Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu

Matango Yana kazi nyingine huko Dar

Matango yanaadimika au be mkasi

Matango hayapendwi na watoto na watu wengi

Huwezi kula tango zaidi 1

Kwanini bei iwe kubwa hivi

Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine

Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Aisee
Dah!
 
UZI unaukakasi ila umepata watu wengi sana kutokana na matatizo kiukweli mimi siwezi nunua tango 😂 afu nikalila hadharani kama zamani sijui tumeelewana tuishie apa
Akili mgando, tango si tunda kama matunda mengine.
 
Hayo mambo ni tikiti maji unakula na mbegu zake, nyanya chungu zile chungu ndo Bora zaidi kma huziwezi hata zile za baridi, unakula mbichi bila kupikwa mbili kwa siku, kama una mke tumia hzo. Najua unae ndomna nimekwambia, wenye videmu piteni kushoto.
Naaam shukrani sana kesho napitia sokoni temeke nibebe matikiti ya kutosha kesho kutwa Nina show game
 
Kabsaa, niliwahi kuskia kwenye kipindi Cha dadaz, yule boke anasema anakoishi karoti Moja sh. 500... Weee!! Nilishtuka, wakati hpo unapata 5 au 10.
Kabisa ukienda huko stereo ni fungu Kuna kipind nilikuwa nauza juis fresh Nachukua matunda stereo naenda nayo mkoani parachichi kuanzia 200,karot kilo 1500 zile nzuri 😃
Yan vitu Bei rahis sana so inategemea
 
Ahaa kwani hulagi tende na maziwa!? Yaani juisi!?.
Huwa napiga sana sema huyu bidada ninae enda kumuwish ilikuwa sijakutana nae miezi 9 na ikapita miezi 4 sijamgusa keshokutwa ndio naenda kumuwish
 
Kabisa ukienda huko stereo ni fungu Kuna kipind nilikuwa nauza juis fresh Nachukua matunda stereo naenda nayo mkoani parachichi kuanzia 200,karot kilo 1500 zile nzuri 😃
Yan vitu Bei rahis sana so inategemea
Yeah kbsaa, asitugombanishe na mama huyu utopwax😂😂
 
Back
Top Bottom