Wadau wanaseme, dereva anapoingiza basi kwenye hoteli tayari ana 60,000 yake mfukoni plus kula bure chakula akitakacho yeye na wasaidizi wake. Haki ya abiria hapa iko wapi? mamlaka kwakweli watusaidie tuWatu wa mabasi ndo wahusika. Hizi hoteli unakuta ni zao so lazima wakupeleke pale. Sehemu nyengine staff hula bure.
Sio uongo mkuu hotel yao imefunguliwa karibuni inaitwa catte labda ujasafiri karibuniUongo,sijawahi shushwa abc na nasafiri nalo mara kwa mara
Ohh mybe karibuniSio uongo mkuu hotel yao imefunguliwa karibuni inaitwa catte labda ujasafiri karibuni
Nikisafiri huwa nabeba hotpot lenye mixer pilau kidogo,mweupe kidogo,kuku kavu,ng'ombe kavu,majani kidogo,pilipili kwa mbali,maji kubwana soda kubwa ya kopo.
Hilo hotpot linaitwa traveller hotpot lina vyumba kibao na linatunza joto masaa 56 na ni ndogo yani saafi na bei yake ni rafiki.
Nilinunua baada ya kupata shida kama hizo hotel za kitonga kule.
Yani saizi nagharamia kuchimba dawa tu lkn napo natafuta hotpot la kuchimbia dawa.
Wakisema kushuka kwenda kula na kuchimba dawa hotelini mi nashuka na hotpot langu nakaa chemba nafanya yangu nafunga tight.
Hela zenyewe zipo wapi bna.
Huko sio kupanga bei ni kuwalazimisha watu wale kwa hiyo beiSoko huria, serikali ikipanga bei za mazao tunailalamikia, wacha soko lipange bei, ni fursa pia kwa wanaotaka kuuza cha kula kwa bei ndogo wakafungue mahoteli ili ushindani uwe mkubwa.
Mwisho kabisa sio lazima kula njiani, nunua maji na korosho za kutosha utakula unapoenda kama una watoto mwambie mama yeyoo awapakilie vyakula.
Seal wanazigundisha na moto sijui[emoji849]Nangurukuru zamani ulikuwa unaweza nunua maji chupa ya kilimanjaro lakini ni maji ya mtoni na yako na seal kabisa sijui walikuwa wanafanyaje fanyaje.
Ukiingizwa pale wali nyama 7000Oooo kumbe ile hotel yao, niliiona kwa mbali juzi juzi hapa.
Naunga Mkono hojaKwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo.
Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana option maana pengine amesafiri masaa kumi na mbili au ishirini bila kuonja kitu na analazimishwa anunue chankula kwa bei ya juu. Au anaenda hospitali kupeleka mgonjwa.
Kiuhalisia sahani ya wali nyama ni 1500 - 2000 lakini kwenye hiyo migahawa wali nyama wanauza 5000 - 6000. Mbaya zaidi vile vidada vihudumu vinanyodo utafikiri vinahudumia hoteli ya nyota tano kumbe mgahawa wa barabarani tena kwa wasafiri (ref: nangurukuru). Ukiviambia dada ongeza kidogo basi ili nishibe kanakukata jicho utafirikiri umetoa mawe kumbe umetoa 6000.
Wanaosafiri wengine ni wagonjwa, watu wa vijijini na wengine hawajiwezi kabisa, unapomlazimisha mtu kuwa tutachimba dawa hoteli fulani na kupata chakula hapo ni ukiukwaji wa haki za wasafiri. Kwanini mamlaka wasimoderate na kucontrol hili suala? ikiwezekana sehemu ya kuchimba dawa ijitegemee na sehemu ya kula ijitegemee ili hao watoa huduma wasiwalipishe watu bei kubwa kisa umechimba dawa kwao.
Madereva na makondacta wao huwa hawalipii hiki chakula kwasababu ni deal kwa mwenye hicho kihoteli. hii ni ajabu sana, ndio maana inapelekea hawa madereva wanawapeleka abiria sehemu ambayo mwisho wa siku watalazimika kulipia hata kama hawataki.
Naomba mamlaka husika waaanze na Nangurukuru, Singida, Shinyanga, Morogoro, Alj jazeera na sehemu zingine ambazo mimi sijafanikiwa kupita huko kwasababu inakera sana na ni ukiukwaji wa haki za wasafiri kabisa kuwalazimisha kupata huduma wasipopenda halafu mbaya zaidi kwa bei ya juuu kuliko uhalisia.
Bei ya choo cha kulipia inajulikana ni 300, Bei ya wali maharage inajulikana 1500-200, bei ya wali kuku inajulikana ni 3000-4000, bei ya kile kitake away inajulikana kuwa ni 300. Iweje tutozwe bei zisizoendana na uhalisia?
Wakuu wa nchi wao husafiri na private mara nyingi kwahiyo hii inweza isiwe na mashiko sana kwao, lakini kiuhalisia vyombo vya dola na mamalaka za miji na halimashauri ambako huduma hizi hutolewa inabidi walichukulie serious.
Wakuu Nawasilisha, naomba ndugu zangu tusaidiane kupinga huu unyanyasaji kwa abiria.
Pia soma
Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki
Siku zote fast food za kula unapokuwa safarini huwa ni bei .....kawaida tu hyo Ova Hiyo kusema siku zote umeitoa wap . ?www.jamiiforums.com
Ah yani kuna siku nilikasirika niliuziwa Sprite takeaway ya 1000 kwa 2000 DahKaribu mkuu tusaidie kupiga kelele, na sikukuu hii watu watalishwa mwewe sana.
Na watawala wamejikausha eti biashara huria, inabidi wajitafakari kwakweli. Hivi vihoteli ni kamhimili flani kamejificha hata president hakajui.Ah yani kuna siku nilikasirika niliuziwa Sprite takeaway ya 1000 kwa 2000 Dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watawala wamejikausha eti biashara huria, inabidi wajitafakari kwakweli. Hivi vihoteli ni kamhimili flani kamejificha hata president hakajui.
Hiyo ht maza alikua nayo..enzi tren halziengui...mnapikiwa maandazi na maji dumu lita 5!kituo Mwanzaaa...!khaaa hahahahaha!Hapa tutarudi enzi za miaka ya 80's, nakumbuka tukiwa tunasafiri na bi-mkubwa ilikuwa lazima apike chakula cha safari kwenye kimfuko cha naironi then kinatunzwa kwenye kikapu... mzee ukijisikia njaa tu bi-mkubwa anafungua kifuko acha kabisa.