Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbo linaweza kukufanya ukutane na simba porini,mana likivuruga huchagui wapi ujisaidie mana unakuta mda huo kinyesi kinagonga hodi kyupiniMie sili chips safarini, nilishawahi kupatwa na masahibu. Nilitoka Moshi kwenda Dar, tulivyofika Mombo tukaingia kula hoteli inaitwa Liverpool, nikala viwepe na mishikaki. Uwiiiiii yaani hata hatujafika mbali, tumbo likaanza kuuma, mharo unataka kuchomoza.
Nikawaza, nikimwambia konda nataka "kuchimba dawa" atasema hilo zoezi ilikuwa lifanyike hotelini tulipokula. Basi bwana akili ikaja ya ziada, nikamwendea konda, nikamdanganya kuwa NIMEANZA KU BLEED GHAFLA hivyo wasimamishe gari nikajisetiri, hahahaha, konda kusikia hivyo akamwambia dreva, gari ikasimama nikaenda kwenye hoteli mshenzi mshenzi, nikahariiiiiiishaaaaaa mpaka basi!
Tumbo linaweza kukufanya ukutane na simba porini,mana likivuruga huchagui wapi ujisaidie mana unakuta mda huo kinyesi kinagonga hodi kyupini
Sasa si unaona, toka lini zege inauzwa 6000. Tunaomba wale waloshinda kwa kishindo watusaidie shida hii. Si wote wenye uwezo wa kununua chakula kwa gharama hizo.Juzi wakati natoka Kigali tulisimama eneo fulani. Basi kama mnavyojua wanaume wa Dar tunapenda Chips zege. Ile najitosa kutoa oda, mhudumu ananiambia chips zege ni tsh 6000.
Nikabaki kutoa macho badala ya kutoa hela.
Unaona sasa, haka kasecta kamesahaulika sana. hakuna anayekaangalia kuhusu mlaji, isipokuwa wale watu wa mapato na afya wakishapita basi. mlaji atajijua mwenyewe.Yule jamaa wa mabasi yaABC naye kafungua hoteli yake pale Morogoro wali nyama sh 7000 mshikaki 3000 marufuku kubakia kwenye basi abiria wote mnashushwa mnalazimishwa kwenda hotelini.
Ni kweli kwasababu watanzania walio wengi ni wakulima na wafugaji ambao kwa vyovyote vile wanaishi chini ya dola moja. na katika secta ya uma kama hali ni mbaya basi hata ule mzunguko wa hela ni shida. ni maombi yetu sasa serikali iliangalie hili suala la hii migahawa ili walaji watendewe haki.Tatizo siyo hizo migahawa bali tatizo hali ni mbaya mifukoni mwa watanzania wengi maana hizo bei bado zinaonekana za kawaida tu ni sawa na usd 3 lakini kwa mwananchi anayeishi chini ya dola moja kwake ni habari mbaya sana kwake. Hali ikiwa nzuri kimaisha wala hutaweza kufikiri hayo yote.
Maisha ni magumu sana mfano ni miaka minne na miezi kadhaa serikali haijaongeza mishahara kwa wafanyakazi kwa mujibu wa sheria (according to annual increment act) lakini viongozi wa vyama vya siasa wapo wanahangaikia matumbo yao tu, wabunge nao kimya, sasa sijui nani mtetezi wa raia wa kawaida
NoKuna nini huko Airport? Au unazungumzia Air hostess
Kwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo.
Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana option maana pengine amesafiri masaa kumi na mbili au ishirini bila kuonja kitu na analazimishwa anunue chankula kwa bei ya juu. Au anaenda hospitali kupeleka mgonjwa.
Kiuhalisia sahani ya wali nyama ni 1500 - 2000 lakini kwenye hiyo migahawa wali nyama wanauza 5000 - 6000. Mbaya zaidi vile vidada vihudumu vinanyodo utafikiri vinahudumia hoteli ya nyota tano kumbe mgahawa wa barabarani tena kwa wasafiri (ref: nangurukuru). Ukiviambia dada ongeza kidogo basi ili nishibe kanakukata jicho utafirikiri umetoa mawe kumbe umetoa 6000.
Wanaosafiri wengine ni wagonjwa, watu wa vijijini na wengine hawajiwezi kabisa, unapomlazimisha mtu kuwa tutachimba dawa hoteli fulani na kupata chakula hapo ni ukiukwaji wa haki za wasafiri. Kwanini mamlaka wasimoderate na kucontrol hili suala? ikiwezekana sehemu ya kuchimba dawa ijitegemee na sehemu ya kula ijitegemee ili hao watoa huduma wasiwalipishe watu bei kubwa kisa umechimba dawa kwao.
Madereva na makondacta wao huwa hawalipii hiki chakula kwasababu ni deal kwa mwenye hicho kihoteli. hii ni ajabu sana, ndio maana inapelekea hawa madereva wanawapeleka abiria sehemu ambayo mwisho wa siku watalazimika kulipia hata kama hawataki.
Naomba mamlaka husika waaanze na Nangurukuru, Singida, Shinyanga, Morogoro, Alj jazeera na sehemu zingine ambazo mimi sijafanikiwa kupita huko kwasababu inakera sana na ni ukiukwaji wa haki za wasafiri kabisa kuwalazimisha kupata huduma wasipopenda halafu mbaya zaidi kwa bei ya juuu kuliko uhalisia.
Bei ya choo cha kulipia inajulikana ni 300, Bei ya wali maharage inajulikana 1500-200, bei ya wali kuku inajulikana ni 3000-4000, bei ya kile kitake away inajulikana kuwa ni 300. Iweje tutozwe bei zisizoendana na uhalisia?
Wakuu wa nchi wao husafiri na private mara nyingi kwahiyo hii inweza isiwe na mashiko sana kwao, lakini kiuhalisia vyombo vya dola na mamalaka za miji na halimashauri ambako huduma hizi hutolewa inabidi walichukulie serious.
Wakuu Nawasilisha, naomba ndugu zangu tusaidiane kupinga huu unyanyasaji kwa abiria.
Pia soma
Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki
Siku zote fast food za kula unapokuwa safarini huwa ni bei .....kawaida tu hyo Ova Hiyo kusema siku zote umeitoa wap . ?www.jamiiforums.com
Mi nimiKwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo.
Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana option maana pengine amesafiri masaa kumi na mbili au ishirini bila kuonja kitu na analazimishwa anunue chankula kwa bei ya juu. Au anaenda hospitali kupeleka mgonjwa.
Kiuhalisia sahani ya wali nyama ni 1500 - 2000 lakini kwenye hiyo migahawa wali nyama wanauza 5000 - 6000. Mbaya zaidi vile vidada vihudumu vinanyodo utafikiri vinahudumia hoteli ya nyota tano kumbe mgahawa wa barabarani tena kwa wasafiri (ref: nangurukuru). Ukiviambia dada ongeza kidogo basi ili nishibe kanakukata jicho utafirikiri umetoa mawe kumbe umetoa 6000.
Wanaosafiri wengine ni wagonjwa, watu wa vijijini na wengine hawajiwezi kabisa, unapomlazimisha mtu kuwa tutachimba dawa hoteli fulani na kupata chakula hapo ni ukiukwaji wa haki za wasafiri. Kwanini mamlaka wasimoderate na kucontrol hili suala? ikiwezekana sehemu ya kuchimba dawa ijitegemee na sehemu ya kula ijitegemee ili hao watoa huduma wasiwalipishe watu bei kubwa kisa umechimba dawa kwao.
Madereva na makondacta wao huwa hawalipii hiki chakula kwasababu ni deal kwa mwenye hicho kihoteli. hii ni ajabu sana, ndio maana inapelekea hawa madereva wanawapeleka abiria sehemu ambayo mwisho wa siku watalazimika kulipia hata kama hawataki.
Naomba mamlaka husika waaanze na Nangurukuru, Singida, Shinyanga, Morogoro, Alj jazeera na sehemu zingine ambazo mimi sijafanikiwa kupita huko kwasababu inakera sana na ni ukiukwaji wa haki za wasafiri kabisa kuwalazimisha kupata huduma wasipopenda halafu mbaya zaidi kwa bei ya juuu kuliko uhalisia.
Bei ya choo cha kulipia inajulikana ni 300, Bei ya wali maharage inajulikana 1500-200, bei ya wali kuku inajulikana ni 3000-4000, bei ya kile kitake away inajulikana kuwa ni 300. Iweje tutozwe bei zisizoendana na uhalisia?
Wakuu wa nchi wao husafiri na private mara nyingi kwahiyo hii inweza isiwe na mashiko sana kwao, lakini kiuhalisia vyombo vya dola na mamalaka za miji na halimashauri ambako huduma hizi hutolewa inabidi walichukulie serious.
Wakuu Nawasilisha, naomba ndugu zangu tusaidiane kupinga huu unyanyasaji kwa abiria.
Pia soma
Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki
Siku zote fast food za kula unapokuwa safarini huwa ni bei .....kawaida tu hyo Ova Hiyo kusema siku zote umeitoa wap . ?www.jamiiforums.com
nimeishia kumwaga chakula maranyingi....Tuzidi kupiga kelele ili wahusika washughulike hili tatizo. Inakera sana
Hahaahahaaa.... Kwahiyo ulitoa macho ya Tshs. 6000.Juzi wakati natoka Kigali tulisimama eneo fulani. Basi kama mnavyojua wanaume wa Dar tunapenda Chips zege. Ile najitosa kutoa oda, mhudumu ananiambia chips zege ni tsh 6000.
Nikabaki kutoa macho badala ya kutoa hela.
Uongo,sijawahi shushwa abc na nasafiri nalo mara kwa maraYule jamaa wa mabasi yaABC naye kafungua hoteli yake pale Morogoro wali nyama sh 7000 mshikaki 3000 marufuku kubakia kwenye basi abiria wote mnashushwa mnalazimishwa kwenda hotelini.
Acha kabisa mkuuHahaahahaaa.... Kwahiyo ulitoa macho ya Tshs. 6000.
Hahaahaha...
Watu wa mabasi ndo wahusika. Hizi hoteli unakuta ni zao so lazima wakupeleke pale. Sehemu nyengine staff hula bure.Kuna ukweli hapa, wahusika watupie macho.