mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
yasiyo ya rangi mkuuYa rang au nyeupe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yasiyo ya rangi mkuuYa rang au nyeupe?
Oh sawa ya rang sh ngapi mgongo mpanayasiyo ya rangi mkuu
Elfu 32Oh sawa ya rang sh ngapi mgongo mpana
Ni ya rangi elf 28 ya kawaida elf 22
Utapewa blaa blaa nyingi lakini ukweli ni ALAF pekee kwa Tanzania.Hatarini za majukumu wana JAMIIFORUMS nimeandika uzi huu kuulizia au kujua bati imara na nikampunigani ya kuzalisha bati hapa nchini ina toa bati imara na inayodumu kwa muda mrefu bila kupauka.
Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.
Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.
Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.
Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii
Sahihi kabisaTumia bati za kiboko au alaf
Ndiohii ni bei ya zile wanaita migongo mipana?
Kwa bati za migongo mipana Bei zao zipoje mkuu!?Alternative ya Alaf ni mabati ya Sunshare, hutajuta
Zipo chini compared to Alaf... Kwa sasa sijajua bei zao zilivyo lakini check page zao Instagram wapo utapata mawasiliano yao, bati zao hazichuji wala kufubaa na ni bei rafiki kwa MtanzaniaSunshare-Kwa bati za migongo mipana Bei zao zipoje mkuu!?
Uko wapi?Elfu 32
Nipo Dar , afrikanaUko wapi?
Vip kuhusu Dragon?Alternative ya Alaf ni mabati ya Sunshare, hutajuta
Sasa hivi kuna lodhia nao wanazalisha mabati, kiwanda chao ni kikubwa kuliko Cha ALAF, pia uzalishaji unatarajiwa kuwa mkubwa zaidi, nadhani amekuja kupambana na mkongwe ALAF ngoja tuoneUtapewa blaa blaa nyingi lakini ukweli ni ALAF pekee kwa Tanzania.
Ukiwa uko vizuri zaidi wahi NABAK Afrika.
1. Ubora na gharama ni mapacha
2. Ubovu na chee ni wana ndoa
Mengine sijui.Hivi Alaf bati la gauge 28 wanauza shngapi anaejua wakuu
Hii ipo juu sana bati la m3 tsh 84k? DuuMengine sijui.
Najua aina ya ROYAL ROMANTILE, gauge 28 kwa mita niliagiza kiwandani kwa Tsh elfu 27 na point.
Bati moja la mita 3 nilinunua Tsh almost 84k.
Waweza kuchagua kutoka katika list yao. Zipo nyingi.Hii ipo juu sana bati la m3 tsh 84k? Duu
Nilitaka gauge 28 rangi kwangu sio kipaombeleWaweza kuchagua kutoka katika list yao. Zipo nyingi.
Nilitaka gauge 28 rangi kwangu sio kipaombele
Ila nahisi kuugua kwa hizo bei nyumba inataka pc 85