Bei za bati na bati imara ni zipi kutoka kampuni gani?

Utapewa blaa blaa nyingi lakini ukweli ni ALAF pekee kwa Tanzania.
Ukiwa uko vizuri zaidi wahi NABAK Afrika.
1. Ubora na gharama ni mapacha
2. Ubovu na chee ni wana ndoa
 
Alternative ya Alaf ni mabati ya Sunshare, hutajuta
 
Sunshare-Kwa bati za migongo mipana Bei zao zipoje mkuu!?
Zipo chini compared to Alaf... Kwa sasa sijajua bei zao zilivyo lakini check page zao Instagram wapo utapata mawasiliano yao, bati zao hazichuji wala kufubaa na ni bei rafiki kwa Mtanzania
 
Utapewa blaa blaa nyingi lakini ukweli ni ALAF pekee kwa Tanzania.
Ukiwa uko vizuri zaidi wahi NABAK Afrika.
1. Ubora na gharama ni mapacha
2. Ubovu na chee ni wana ndoa
Sasa hivi kuna lodhia nao wanazalisha mabati, kiwanda chao ni kikubwa kuliko Cha ALAF, pia uzalishaji unatarajiwa kuwa mkubwa zaidi, nadhani amekuja kupambana na mkongwe ALAF ngoja tuone
 
Hivi Alaf bati la gauge 28 wanauza shngapi anaejua wakuu
 
Hivi Alaf bati la gauge 28 wanauza shngapi anaejua wakuu
Mengine sijui.

Najua aina ya ROYAL ROMANTILE, gauge 28 kwa mita niliagiza kiwandani kwa Tsh elfu 27 na point.

Bati moja la mita 3 nilinunua Tsh almost 84k.
 
Mengine sijui.

Najua aina ya ROYAL ROMANTILE, gauge 28 kwa mita niliagiza kiwandani kwa Tsh elfu 27 na point.

Bati moja la mita 3 nilinunua Tsh almost 84k.
Hii ipo juu sana bati la m3 tsh 84k? Duu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…