Bei za Mafuta: Spika Tulia asema Bunge ndio linatunga Sheria sasa kama Serikali haitekelezi basi kuna tatizo kubwa

Bei za Mafuta: Spika Tulia asema Bunge ndio linatunga Sheria sasa kama Serikali haitekelezi basi kuna tatizo kubwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Sengerema Mh Tabasamu amesema tenda za mafuta wangepewa TPDC na Puma ambako serikali ina hisa zake basi bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi ilichopanda.

Tabasamu amesema waagizaji wa mafuta wanaoleta sasa bei yao ni mara mbili ya ile waliyoquote TPDC wakati wanaomba tenda. Lakini TPDC akanyimwa na leo tunalia mfumuko wa bei kila kona ya nchi.

Spika Tulia amesema mh Tabasamu ana hoja nzito sana lakini ni lazima tuangalie sheria ya procurement inasemaje.

Ni sisi wabunge ndio tumetunga hizo sheria, je zinafuatwa na serikali? Na kama hazifuatwi hali inayopelekea bei kupanda hovyo basi kuna tatizo kubwa, amesisitiza Dkt. Tulia.

Chanzo: TBC
 
Hii tenda ilichukuliwa na TOTAL? nauliza tu jamani kuna kitu nmefikiria
 
Makamba anajiona yuko salama lakini mamlaka inamzunguka, mashambulizi yanatoka juu. Ameshaonekana hafai pia tamaa za urais sasa atatolewaje atapata mashambulizi mpaka kiti kiwe chamoto.
 
Tujichunguze na hayo yanasemwa everytime,tunaweza ingiza inchi kwenye uhaba mkubwa kuliko sasa,sheria zinazozungumzwa sasa ndio zilizooperate mpaka bei ikashuka hadi 1,200/- na watu tukafurahi,leo hii zinaonekana hazifai,tukianza kuingiza mafuta kiholela hapo ndio watakapovicha mafuta live live,
 
Mbunge wa Sengerema Mh Tabasamu amesema tenda za mafuta wangepewa TPDC na Puma ambako serikali ina hisa zake basi bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi ilichopanda.

Tabasamu amesema waagizaji wa mafuta wanaoleta sasa bei yao ni mara mbili ya ile waliyoquote TPDC wakati wanaomba tenda. Lakini TPDC akanyimwa na leo tunalia mfumuko wa bei kila kona ya nchi.

Spika Tulia amesema mh Tabasamu ana hoja nzito sana lakini ni lazima tuangalie sheria ya procurement inasemaje.

Ni sisi wabunge ndio tumetunga hizo sheria, je zinafuatwa na serikali? Na kama hazifuatwi hali inayopelekea bei kupanda hovyo basi kuna tatizo kubwa, amesisitiza Dkt. Tulia.

Source: TBC
Sio kazi ya Spika kusawazisha hoja hivyo, Spika anatakiwa awe moderator tu wa mjadala.Tujifunze kwenye mabunge ya Jumuiya ya Madola
 
Tujichunguze na hayo yanasemwa everytime,tunaweza ingiza inchi kwenye uhaba mkubwa kuliko sasa,sheria zinazozungumzwa sasa ndio zilizooperate mpaka bei ikashuka hadi 1,200/- na watu tukafurahi,leo hii zinaonekana hazifai,tukianza kuingiza mafuta kiholela hapo ndio watakapovicha mafuta live live,
Huwezi kutumia approach moja kila muda, sisi sio marobot. Approach zinapaswa kubadilika kulingana na mazingira.

Ndio maana unaona hata serikali zingine zimekata baadhi ya bajeti yake kuweka ruzuku ili kupunguza Hilo gap
 
Mbunge wa Sengerema Mh Tabasamu amesema tenda za mafuta wangepewa TPDC na Puma ambako serikali ina hisa zake basi bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi ilichopanda.

Tabasamu amesema waagizaji wa mafuta wanaoleta sasa bei yao ni mara mbili ya ile waliyoquote TPDC wakati wanaomba tenda. Lakini TPDC akanyimwa na leo tunalia mfumuko wa bei kila kona ya nchi.

Spika Tulia amesema mh Tabasamu ana hoja nzito sana lakini ni lazima tuangalie sheria ya procurement inasemaje.

Ni sisi wabunge ndio tumetunga hizo sheria, je zinafuatwa na serikali? Na kama hazifuatwi hali inayopelekea bei kupanda hovyo basi kuna tatizo kubwa, amesisitiza Dkt. Tulia.

Source: TBC
HATA KAMA SERIKALI HAIZIFUATI SHERIA BUNGE HALINA UWEZO WA KUIFANYA SERIKALI IFUATE
 
Mbunge wa Sengerema Mh Tabasamu amesema tenda za mafuta wangepewa TPDC na Puma ambako serikali ina hisa zake basi bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi ilichopanda.

Tabasamu amesema waagizaji wa mafuta wanaoleta sasa bei yao ni mara mbili ya ile waliyoquote TPDC wakati wanaomba tenda. Lakini TPDC akanyimwa na leo tunalia mfumuko wa bei kila kona ya nchi.

Spika Tulia amesema mh Tabasamu ana hoja nzito sana lakini ni lazima tuangalie sheria ya procurement inasemaje.

Ni sisi wabunge ndio tumetunga hizo sheria, je zinafuatwa na serikali? Na kama hazifuatwi hali inayopelekea bei kupanda hovyo basi kuna tatizo kubwa, amesisitiza Dkt. Tulia.

Source: TBC

Spika aache upotoshaji wa kijinga, sheria zinatungwa na serikali, hilo bunge ni rubber stamp tu. Wao walishakubali Bunge kuwa kibogoyo, na yeye akabariki kuwa serekali haiwezi kushinikizwa na bunge kutekeleza jambo. Hivyo anapaswa kukaa kwa kutulia.
 
Kwamba waliopata tenda wali quote bei mara mbili ya TPDC....

Hapo kweli ufisadi lazima uwepo,,maana teni pacenti zitakuwa zilikuwa nyingi sana
 
Huwezi kutumia approach moja kila muda, sisi sio marobot. Approach zinapaswa kubadilika kulingana na mazingira.

Ndio maana unaona hata serikali zingine zimekata baadhi ya bajeti yake kuweka ruzuku ili kupunguza Hilo gap
Swala la bei ya mafuta kupanda na kushuka ni kote duniani na linatoka na bei ya mafuta duniani. Tatizo ni pale bei inapopanda kama sasa hivi kutokana na vita kati ya Urusi na Ukraine serikali inafanya maamuzi gani kupunguza maumivu kwa raia wake.

Nitakupa mfano, kuna nchi zimesimamisha kodi ya mafuta kwa wanafanya biashara wa mafuta kwa mda maalum hili wapunguze bei ya mafuta. Na walivyo toa kodi tu wakawapa onyo wenye petrol station zote kwamba wasipopunguza bei ya mafuta wananyang’anywa leseni.

Ni vizuri serikali ikae chini na kuangalia jinsi gani wanaweza kuwapunguzia mzigo raia kwa kushirikiana na wafanya biashara wa mafuta.

Tufanye maamuzi kwa ajili ya maendeleo sio kwa kukomoana. Njia za kukomoana anaye umia ni raia wa chini.
 
Kwamba waliopata tenda wali quote bei mara mbili ya TPDC....

Hapo kweli ufisadi lazima uwepo,,maana teni pacenti zitakuwa zilikuwa nyingi sana
Ujanja ujanja mwingi sana kwenye nchi yetu na anae umia ni raia wa kawaida.
 
Ujanja ujanja mwingi sana kwenye nchi yetu na anae umia ni raia wa kawaida.

Wabunge hawajali taabu wanazopata wananchi kutokana na mfumuko wa bei kwasababu wanapata mshahara na marupurupu mengi [ Zaidi ya shs. 30 mill kwa mwezi] yanayowafanya wasisikie maumivu ya bidhaa kupanda bei!! Ndio maana badala ya kutafakari jinsi ya kuishauri serikali kuhusu njia za kupunguza bei za mafuta ili wananchi wasiumie wao wanatumia muda wao mwingi kudai wawekewe PLATE NUMBER maalum kwenye magari yao!!! Disgraceful!!!
 
Mbunge wa Sengerema Mh Tabasamu amesema tenda za mafuta wangepewa TPDC na Puma ambako serikali ina hisa zake basi bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi ilichopanda.

Tabasamu amesema waagizaji wa mafuta wanaoleta sasa bei yao ni mara mbili ya ile waliyoquote TPDC wakati wanaomba tenda. Lakini TPDC akanyimwa na leo tunalia mfumuko wa bei kila kona ya nchi.

Spika Tulia amesema mh Tabasamu ana hoja nzito sana lakini ni lazima tuangalie sheria ya procurement inasemaje.

Ni sisi wabunge ndio tumetunga hizo sheria, je zinafuatwa na serikali? Na kama hazifuatwi hali inayopelekea bei kupanda hovyo basi kuna tatizo kubwa, amesisitiza Dkt. Tulia.

Chanzo: TBC
Hakuna bunge la tanzanua linatubga sheria bali ni ruber stamp ya bills zinazoandaliwa na Wizara tu.
 
Bunge halijawahi kutunga Sheria hapa Nchini Tanzania, Serikali ndiyo inatunga sheria na kupeleka Bungeni zikapigiwe makofi na ndiyoooooooooo.
Tulia bwana. Huyo ndio mtabe wa sheria tunayeambiwa🤣🤣
 
Bunge la Magufuli hili, ndicho alikuwa anakita yule mwendakuzimu.

Spika anashangaa na wananchi wanashangaa, ni vituko vitupu.
 
Sio kazi ya Spika kusawazisha hoja hivyo, Spika anatakiwa awe moderator tu wa mjadala.Tujifunze kwenye mabunge ya Jumuiya ya Madola
Kwani bunge letu siyo la Jumuiya ya Madola?
 
Spika aache upotoshaji wa kijinga, sheria zinatungwa na serikali, hilo bunge ni rubber stamp tu. Wao walishakubali Bunge kuwa kibogoyo, na yeye akabariki kuwa serekali haiwezi kushinikizwa na bunge kutekeleza jambo. Hivyo anapaswa kukaa kwa kutulia.
Unazijua kazi za bunge kwa mujibu wa katiba?
 
Back
Top Bottom