Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
Makamba ndio kapandisha bei ya mafutaMh. Rais, tunakuomba sana toa Makamba haraka plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba ndio kapandisha bei ya mafutaMh. Rais, tunakuomba sana toa Makamba haraka plz
Haujui kuwa moja ya sababu ya kupanda bei ya mafuta ni conflict? Jiongeze ujue scope ya kozi husika.Master in conflict resolution na mafuta wapi na wapi?
Contradictions ?! Au ??HATA KAMA SERIKALI HAIZIFUATI SHERIA BUNGE HALINA UWEZO WA KUIFANYA SERIKALI IFUATE
Kwani bunge letu siyo la Jumuiya ya Madola?
Mbunge wa Sengerema Mh Tabasamu amesema tenda za mafuta wangepewa TPDC na Puma ambako serikali ina hisa zake basi bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi ilichopanda.
Tabasamu amesema waagizaji wa mafuta wanaoleta sasa bei yao ni mara mbili ya ile waliyoquote TPDC wakati wanaomba tenda. Lakini TPDC akanyimwa na leo tunalia mfumuko wa bei kila kona ya nchi.
Spika Tulia amesema mh Tabasamu ana hoja nzito sana lakini ni lazima tuangalie sheria ya procurement inasemaje.
Ni sisi wabunge ndio tumetunga hizo sheria, je zinafuatwa na serikali? Na kama hazifuatwi hali inayopelekea bei kupanda hovyo basi kuna tatizo kubwa, amesisitiza Dkt. Tulia.
Chanzo: TBC
Kuna rais nchi hii alikuwa muaminifu sanaaa aliyoyashuhudia akiwa hai alikufa kwa kiharusi tungali twamuhitaji. Ilikuwa funzo sana kwa kijana wake yule mjanja mjanja aliyeonekana muaminifu zaidi ya Mamvi, huyu kijana wa mwalimu tulipo mpa nchi aliamua awe mtiifu kwa familiar yake na anafanya hivyo hata leoUjanja ujanja mwingi sana kwenye nchi yetu na anae umia ni raia wa kawaida.