Bei za Mafuta: Spika Tulia asema Bunge ndio linatunga Sheria sasa kama Serikali haitekelezi basi kuna tatizo kubwa


Samia yeye kama samia anasemaje kwwni
 
Mama wamemuweka bize kuzindua vitu vya ovyoovyo huku wao wakolipitisha mambo ajabu.

Nilishasema huyu Makamba ni tatizo haaminiki kabisa
 
Ujanja ujanja mwingi sana kwenye nchi yetu na anae umia ni raia wa kawaida.
Kuna rais nchi hii alikuwa muaminifu sanaaa aliyoyashuhudia akiwa hai alikufa kwa kiharusi tungali twamuhitaji. Ilikuwa funzo sana kwa kijana wake yule mjanja mjanja aliyeonekana muaminifu zaidi ya Mamvi, huyu kijana wa mwalimu tulipo mpa nchi aliamua awe mtiifu kwa familiar yake na anafanya hivyo hata leo
 
January anahitaji utulivu wa kisaikolojia wakati huu.... sijui kama mi pekeangu nakumbuka hili ..... nilimsikia mama anasema waziri aliondoa tozo ya shilingi 100 kwa lita ila hakufanya tathmini vizuri, narudisha hyo tozo mafuta yatapanda bei na nauli zitaongezeka... lazima niwaambie ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…