Bei za Mafuta zapanda kuanzia Septemba 1, 2021

Bei za Mafuta zapanda kuanzia Septemba 1, 2021

Umeme haueleweki, maji hayaeleweki, petrol haieleweki, miamala haieleweki....etc!

Ngoja akili zitukae sawa kwanza...!
 
Wenye njaa kali wako ccm mana nlizoea vya kunyonga,wakti wa msiba wa kwandikwa nliwakuta masumbwe wamepaki magari ya ccm wamejazana wanashambulia machungwa na miwa[emoji16][emoji16]huku wamevaa mashati yao ya kijani,vumbi mpka kwenye kope,ndio mtajua hamjui
Ndio mama anawakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacy
 
Dah ,nauza brevis wazee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yamekufika hapa
IMG_20210406_141901.jpg
 
Hehehe...

Tutaanza kununua bajaj sasa kama chombo cha usafiri...dadadek
 
Back
Top Bottom