Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mama anawakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacyWenye njaa kali wako ccm mana nlizoea vya kunyonga,wakti wa msiba wa kwandikwa nliwakuta masumbwe wamepaki magari ya ccm wamejazana wanashambulia machungwa na miwa[emoji16][emoji16]huku wamevaa mashati yao ya kijani,vumbi mpka kwenye kope,ndio mtajua hamjui
Kuna watu wanaweka Lita 2 kwenye gari..Usicheke mkuu 10,000/- haifiki Lita 4 sasa itakuaje?
[emoji23][emoji23]Si mlikuwa mnademka kwamba acha apandishe ili kuinua uchumi uliouawa na marehemu?
.
Mkawa mnasema hata ikifika elfu 10 sawa tu maana mko huru baada ya kuteswa sana na mwenda zake?
Mama anawafungulia uchumi[emoji1787]Na bado!
.
Vipi unaonaje anavyowakomesha mataga na sukuma gang huku akifuta legacy?
Anaupiga mwingi sana ukizingatia sasa mnapumua, mko huru, mmejazwa mahela mifukoni baada ya kuporwa na mwendazake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yamekufika hapaDah ,nauza brevis wazee
[emoji23][emoji23]