Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado! Hadi maji muite mmaBora ya magufuli mara 10 alikuwa na hekima kuliko huyu demu
Leo hii Magu amekuwa na hekima 😅 si mlidai dikteta yuleBora ya magufuli mara 10 alikuwa na hekima kuliko huyu demu
Komaa nayo baba gari zuri sana usiuze mzee baba kafunge mitungi ya gas tu hapo NIT kwa 1.6m unakula nchi tuWakuu nauza Toyota Crown 5m tu. Au mwenye Passo tubadilishane.
Cc Maghayo
Wazenji always ni Binadamu, hawatakiwi kubugudhiwa!!Unguja wao hawamo kwenye hii list? Ili tuumie wote?
Huyu Mwigulu mtamtupia sana lawama ila mama yenu huyu mliemdemkia sana mwanzoni hamna kituNchi imekabidhiwa kwa wahuni na “know-it-all” kama Madelu na haya ndio matokeo yake
Watu wapo busy wanachota na kukwapua pesa za maandalizi ya 2025
Hawa viongozi wa awamu ya sita hawana huruma na wananchi, walaaniwe na kulaanika
Hebu tupe mchanganuoTuelewe kwamba hilo ongezeko la sasa halijatokana na Sababu za ndani ya Nchi.
Sioni mantiki ya kuilaumu serikali
Labda hii list siyo ya muungano..Unguja wao hawamo kwenye hii list? Ili tuumie wote?
Isomeke tena..Ile 30% waliyopunguza kwenye tozo ndo imekuja kufidiwa huku? hawa nchi imeshawashinda waitishe uchaguzi upya......
Chadema walimmiss sana JK kipindi cha MaguHii ni Kikwete style kama hukuwepo kipindi cha Kikwete ndo utashangaa lakini kama ulikuwepo uwezi shangaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utapanic sana dogo!Hilo lijinga unalolilenga ndio source of problem in tz
Na bado!Mama mtu wa hovyohovyo,hajui lolote yupo kula na kulala tu
Komaa nalo kalifunge gas nyumaDah ,nauza brevis wazee
Bwege kweli wewe😅Hilo lijinga unalolilenga ndio source of problem in tz