Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #41
Sijakengeuka bossUmekengeuka, siyo bure!
Kwamba unataka Watanzania wenye vipato vya chini mnaoita wanyonge wanyang'anywe haki ya kupanda treni ya SGR kuwahi shughuli zao kwa maslahi ya matajiri wa mabasi?!!
ujinga umeandikaKatika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.
Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.
Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
Kubeba mizigoMalengo ya kujenga hiyo reli yalikuwa yapi?
wamiliki wa mabasi ya abiria wanatakiwa wafanye wanachoweza wafikirie wanachoweza POSITIVE THINKING bila kuathiri biashara ya mwingine sgr.Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
Basi wahurumie raia wa chini nao wafaidi mema ya nchi yao.Sijakengeuka boss
Kusafirisha mizigo kwenda nchi jirani......Malengo ya kujenga hiyo reli yalikuwa yapi?
Vp unaonaje moro wafanya 50000 na dodoma wafanye 100,000 unasemaje mdauKatika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.
Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.
Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
Wachawi mmeanza mnajifanya wema kumbe mnataka kuua, wewe hajawahi kusafiri kwenda mikoaani si ka basi qala treni leo unajifanya mchimi wakati ni mpigadebe wa basi la Katarama!Katika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.
Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.
Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
Yani na mimi ndicho nachojiuliza.Malengo ya kujenga hiyo reli yalikuwa yapi?
Hili mbona liko mbioni kutokea kaka, kwani ile ya kutoka dar kwenda Arusha ilikuwaje? Si hao hao makanjanja wanaomiliki mabasi waliifanyia uhuni wakishirikiana na viongozi washenzi wa serikali kuiua na baishara ya mabasi isiyumbe?Nina mashaka wakati wa mvua kama hawajafanya hujuma kule kwenye mito ya Gulwe na Godegode ili kuharibu miundo mbinu ya reli...
Acha dharauPia, nauli zipandishwe ili kupunguza walalahoi kujazana kwenye treni, halafu wakiwa nadani ya treni wanatamani kushuka/kuondoka na kila wanachokiona e.g feni, taa, koki, na makava ya viti.
Sio elfu 10 hiyo mbona Bado ni nyingi sana, yapaswa muweke nauli ya kutoka dar-dom shilingi elfu Moja na mia Tano pesa taslimu ya kitanzania yaani 1,500/=Waweke elfu 10 ?
Unatakiwa kukocoment mawazo boss usitaje majina ya vitu wala kuwasema watuWachawi mmeanza mnajifanya wema kumbe mnataka kuua, wewe hajawahi kusafiri kwenda mikoaani si ka basi qala treni leo unajifanya mchimi wakati ni mpigadebe wa basi la Katarama!
Nani akuhujumu mkuu bei ziongezwe na watu watapanda mbona mwendokasi wanapanda.Kila siku mnawaza namna ya kuhujumu Serikali tu, watu wa namna hii ni wa kuwapiga risasi tu, kuendelea kuishi nao ni kuangamiza Taifa.
Nauli ziongezwe kwasababu wanatoa huduma ya haraka kuliko wa mabasi.Unataka waongeze nauli ya trein ili ziwe zinaenda idodomya tupu sio?
Goodwafanye wanachoweza wafikirie wanachoweza POSITIVE THINKING bila kuathiri biashara ya mwingine.
Kuongeza bei ya nauli ya biashara ni kuhujumu serikali?Kila siku mnawaza namna ya kuhujumu Serikali tu, watu wa namna hii ni wa kuwapiga risasi tu, kuendelea kuishi nao ni kuangamiza Taifa.