We ni mpumbavu. Ikiwa mwenyeNauli za ndege huwa ni kubwa duniani kote.
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
Sio spidi tu hata utaratibu wa tiketi,huduma za ndani kama vile vyoo abiria wenye matatizo ya kisukari na mengine yanayofanana na hayo hawawezi kuacha kupanda treni.Pia uhakika wa muda wa kuanza safari nacho ni kigezo tosha.Kwa ufupi wenye mabasi ya safari ndefu waweke mabasi classic na huduma Bora kama za iliyokuwa kampuni ya mabasi ya Scandinavia.Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
Ndio hivyo bossItoshe kusema huna akili.
Sio kwamba nauli za basi na treni zilingane ili wenye mabasi na treni washindane kuboresha huduma mkuu?Katika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.
Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.
Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
What if wakipandisha still watu wakakaongezeka kwenye treni badala ya mabasi?Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.
atataka waendelee wapandishe tena na tena(endelevu) to the maximum mpaka abiria washindwe kupanda treni ili wakapande mabasi yake.What if wakipandisha still watu wakakaongezeka kwenye treni badala ya mabasi?
😀atataka waendelee wapandishe tena na tena(endelevu) to the maximum mpaka abiria washindwe kupanda treni ili wakapande mabasi yake.
Warangi hamjawahi kuwa na roho nzuri..ovaVp unaonaje moro wafanya 50000 na dodoma wafanye 100,000 unasemaje mdau
Ova