Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Wewe umeleta hoja simamia kwenye Hoja yako, unapoleta msururu wa hoja nyengine unakuwa hater kama hater wengine tu.

Na heading ya Uzi wako unasema vitu kushuka Kenya sisi tunakwama wapi?

Jibu na mimi nakupa Kwetu vitu ni bei rahisi kuliko Kenya.

Karibu tuendeleze mada
Bei za Tanzania kuwa chini kuliko Kenya Si sababu,

Ziko factors zinazoweza sababisha Kenya Bei kuwa juu na Bado wao wakaweza kununua kirahisi bidhaa kulingana na PURCHASING POWER Yao kuwa juu kuliko yetu Bei ambapo ni down.

Mfano Arusha Bei ziko juu za vyakula bt Kuna mzunguko mkubwa wa dollar sababu ya Utalii hivyo wanamudu kununua Kwa Bei ya juu bila kuuumia.


Bei ya UNGA ilikuwa 1000 Kwa kilo hapa Tanzania, hivyo kupanda Hadi 2000 Bado ni maumivu Kwa Watanzania sababu ya purchasing power yetu kuwa chini sababu ya mzunguko ndogo wa biashara na fursa za kiuchumi.

So Tanzania pia tunatakiwa kuandamana Bei irudi 1000 Ili wananchi wamudu gharama za maisha.

Hatupasi kujilinganisha na Kenya ambayo nusu ya nchi ni JANGWA, hawalimi sana kama kwetu.
 
Wanapoteza hela nyingi kwa watu kufunga biashara kupisha maandamano,,watalii wana acha kutembelea nchi yao, badala ya kwenda kulima, nguvu kazi iko barabarani inapambana na polisi. Yule mzee ni li jinga sana
 
Wanapoteza hela nyingi kwa watu kufunga biashara kupisha maandamano,,watalii wana acha kutembelea nchi yao, badala ya kwenda kulima, nguvu kazi iko barabarani inapambana na polisi. Yule mzee ni li jinga sana
Ufaransa, Israel na Marekani Kila siku maandamano na Uchumi unapaa,

Ni wajibu wa Serikali kuhakikisha maandamano yanafanyika na shughuli zinaendelea kama Kawa, sababu maandamano yapo kisheria.

Njia pekee ya kuondoa maandamano ni kutekeleza matakwa ya waandamanaji na sio kuwatukana au kuwapiga.

Boss wa Rais ni wananchi, Serikali inatakiwa iwe na Heshima.
 
Je unazijua sababu za kupanda kwa bei za bidhaa, kama unazijua, unadhani maandamano yanaweza ku-influence changes?

Of cause, nobody underestimate the power/strength of fools in large numbers. Ila ukweli utabakia pale pale
Nimekuuliza swali badala unijibu, sadly nawe unanijibu kwa kuniuliza.!!

Nakuona ulivyojaa ujuaji wa kijinga kuwaita fools wale wanaopigania haki zao, na kufanikiwa kuzipata, hujielewi.

Anyway, ni ofcourse not of cause ewe mchumi!.
 
Wewe umeleta hoja simamia kwenye Hoja yako, unapoleta msururu wa hoja nyengine unakuwa hater kama hater wengine tu.

Na heading ya Uzi wako unasema vitu kushuka Kenya sisi tunakwama wapi?

Jibu na mimi nakupa Kwetu vitu ni bei rahisi kuliko Kenya.

Karibu tuendeleze mada

Kwani wewe ni nani mjomba, kujaribu kumshurutisha nani kufanya nini kwenye nini Ili kuwa kwenye unachodhani wewe kuwa ndiyo vigezo sahihi?

Ka CV kadogo kangesaidia kuondoa sintofahamu hapa.

"Kila mtu ana uhuru wa kuwasilisha lolote kama anavyojisikia."

Hiyo ni moja ya kanuni za msingi tu humu JF.

"Kwani hata hoja yako moja tu ya demo ambayo ni bora kabisa, isiyokuwa na msururu wa hoja wala hater iko wapi ndugu japo tuione au kulinganisha tu?

"Ninasimama na hoja yangu kuwa serikali ya Kenya bila kutaka, imelazimishwa kushusha bei za vitu. Labda kama wewe unataka kusema imeshusha kwa ridhaa yake?"

Hilo linawezekana hata hapa kwa kuwapuuza walamba asali, wahuni na wale vijana wa hovyo kama wewe na kupambana kwa maslahi ya wengi.

"Kudhania tunayawajua mno ya wakenya kuliko watu wa huko ni ndiyo ule ujuaji wetu sasa."

Makundi matatu ya watu hawa ni hasara kubwa na hawana mchango wowote kwa taifa hili.

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Nimekuuliza swali badala unijibu, sadly nawe unanijibu kwa kuniuliza.!!

Nakuona ulivyojaa ujuaji wa kijinga kuwaita fools wale wanaopigania haki zao, na kufanikiwa kuzipata, hujielewi.

Anyway, ni ofcourse not of cause ewe mchumi!.
Una uwezo mdogo sans wa akili
 
Ufaransa, Israel na Marekani Kila siku maandamano na Uchumi unapaa,

Ni wajibu wa Serikali kuhakikisha maandamano yanafanyika na shughuli zinaendelea kama Kawa, sababu maandamano yapo kisheria.

Njia pekee ya kuondoa maandamano ni kutekeleza matakwa ya waandamanaji na sio kuwatukana au kuwapiga.

Boss wa Rais ni wananchi, Serikali inatakiwa iwe na Heshima.
Ndiyo akili yako ilipofikia mwisho?
 
Hakuna kitu ulichoandika, a misplaced and short sighted opinion
Suala sio misplacement na short sight. Hapo nimeelezea ni vipi matendo kama ubadhirifu serikalini unaweza pelekea inflation kwa namna moja au nyingine.

Suala la kupanda na kushuka bei.. liko wazi ni market forces ila sio kama hamna vitu vingine vinachochea mabadiliko hayo. Ukiacha mbali market demand and supply, kuna vitu kama serikali, makisio na mategemeo na miamala ya kimataifa.

Tanzania tunakwamakwa sababu wajuaji kama wewe wasemao nchi ina wajinga ila hufanyi chochote zaidi ya kupinga hoja bila kutoa suluhisho.
 
Sasa zile kelele zako zilikuwa za nini!
Sio kelele ni Fact, tupo kwenye position nzuri kuliko Kenya na hatuwezi kutumia kenya kama standard ni upuuzi.
Muhimu umeshakiri nguvu ya umma inaweza kuleta mabadiliko, na mabadiliko hayo ndio yamesababisha bei ya unga kushuka kuanzia next week, basi tufunge mjadala wetu, mambo mengine mengi unayoandika hayana maana.
Ulichoandika hakina mahusiano yoyote, ni swali umeuliza nikakujibu,

Na bei ya kushuka ya Kenya still ni ghali kuliko Tanzania huoni hii ni credit kwa Nchi yetu?
 
Bei za Tanzania kuwa chini kuliko Kenya Si sababu,

Ziko factors zinazoweza sababisha Kenya Bei kuwa juu na Bado wao wakaweza kununua kirahisi bidhaa kulingana na PURCHASING POWER Yao kuwa juu kuliko yetu Bei ambapo ni down.
Sahihi ila ufahamu Kenya wana Income inequality kubwa kushinda Tanzania,

Kwa Tanzania data Za Gdp per capita (PPP)
-Tajiri dar dola 5699
-Masikini Kagera dola 1700

Kwa Kenya data za Gpd per Capita (PPP)
-Tajiri Nyandarua County dola 6955
-Masikini Mandera County dola 967

Hivyo ukiangalia mkuu Gape kubwa mno hapo baina ya Masikini wa Tanzania na Kenya, kote Unga ukiwa 2000 basi wa Tanzania wana Uafadhali zaidi
Mfano Arusha Bei ziko juu za vyakula bt Kuna mzunguko mkubwa wa dollar sababu ya Utalii hivyo wanamudu kununua Kwa Bei ya juu bila kuuumia.


Bei ya UNGA ilikuwa 1000 Kwa kilo hapa Tanzania, hivyo kupanda Hadi 2000 Bado ni maumivu Kwa Watanzania sababu ya purchasing power yetu kuwa chini sababu ya mzunguko ndogo wa biashara na fursa za kiuchumi.

So Tanzania pia tunatakiwa kuandamana Bei irudi 1000 Ili wananchi wamudu gharama za maisha.
Kama nilivyokuambia juu, Masikini wa Tanzania wana purchasing power parity kubwa kuliko wa kenya.

Pia kuandamana for the sake of Kuandamana hakumake sense yoyote, sababu xxx kaandamana haimaanishi basi na sisi tuandamane, kuiga iga sio kuzuri

Yapo mambo ya msingi ya kuandamana kama report ya CAG, ila hili la kupanda bei tumelihandle vizuri kuliko majirani zetu.
Hatupasi kujilinganisha na Kenya ambayo nusu ya nchi ni JANGWA, hawalimi sana kama kwetu.
Hata sisi tuna maeneo kibao ya majangwa, yanayolima mazao ya biashara na kwengineko,

Arable land kenya ni 10%, Arable land Tanzania ni 15% Tumewazidi ila sio kivile, 10% inatosha kuwalisha kabisa.
 
Kufuatia maandamano ya kizalendo Kenya, serikali ya huko, imeamua kushusha bei za vyakula.

View attachment 2588177

Upinzani unataka bei ya unga kwa kilo isizidi 2,000/- za kitanzania, vinginevyo wanarudi Tahrir.

Unga prices to drop from next week, President Ruto pledges

Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine) wanakodai kuwa hizi ni harakati za wajaluo au kuwa hata ni za kikabila, isipokuwa Tanzania. Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!

"Hivi pilipili usisozila zinakuwasha nini?"

Wakenya wana matatizo Yao wanayoyatambua. Kwamba ni yao na kuwa hawana mjomba wala shangazi wa kuwatatulia.

Wanajua mfumbuzi wa matatizo yao ni wao wenyewe. Hawatafuti visingizio, mchawi wala kujaribu kuyakimbia. Wanajua matatizo hukabiliwa, tena kwa vitendo si kwa maneno.

"Maneno matupu hayavunji mfupa."

Inafahamika kuwa hata huko walamba asali, wahuni na hata vijana wa hovyo wapo. Kwamba yaliyoko kwetu na kwao yapo. Hata hivyo ujasiri wa viongozi wao wenye misimamo isiyotetereka ni jambo la kupigiwa mfano sana.

Kushuka kwa bei za bidhaa muhimu Kenya ni kwa manufaa ya wakenya wote.

"Liko kama mtego wa panya wenye kunasa waliomo na wasiokuwamo."

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.

Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Mengine yote ni manjonjo tu.
Wewe hujaona hapa mafuta ya kula yanashuka
 
Sahihi ila ufahamu Kenya wana Income inequality kubwa kushinda Tanzania,

Kwa Tanzania data Za Gdp per capita (PPP)
-Tajiri dar dola 5699
-Masikini Kagera dola 1700

Kwa Kenya data za Gpd per Capita (PPP)
-Tajiri Nyandarua County dola 6955
-Masikini Mandera County dola 967

Hivyo ukiangalia mkuu Gape kubwa mno hapo baina ya Masikini wa Tanzania na Kenya, kote Unga ukiwa 2000 basi wa Tanzania wana Uafadhali zaidi

Kama nilivyokuambia juu, Masikini wa Tanzania wana purchasing power parity kubwa kuliko wa kenya.

Pia kuandamana for the sake of Kuandamana hakumake sense yoyote, sababu xxx kaandamana haimaanishi basi na sisi tuandamane, kuiga iga sio kuzuri

Yapo mambo ya msingi ya kuandamana kama report ya CAG, ila hili la kupanda bei tumelihandle vizuri kuliko majirani zetu.

Hata sisi tuna maeneo kibao ya majangwa, yanayolima mazao ya biashara na kwengineko,

Arable land kenya ni 10%, Arable land Tanzania ni 15% Tumewazidi ila sio kivile, 10% inatosha kuwalisha kabisa.
Wamepewa Mbolea ya RUZUKU Ili walime.

Wanaweza kupata chakula Kweli, bt kulima na kupata mazao mengi kufikia mwezi wa SITA hakutowapa nafuu ya Bei sababu wakulima ni Wachache wenye mashamba.

Wananchi wengi hawana mashamba, ni vibarua ktk mashamba ya matajiri Wachache.

Kenya KAZI wanayo.
 
Mbona hujatuonyesha mchanganuo wa bei zilivyoshuka badala yake unaongea ujinga ujinga tuu.

Tanzania Huwa haiigi upuuzi, uzalishaji na soko ndio vitaamua bei.

Umeielewa mada lakini jombi? Hoja hapa ni kuwa hatimaye Ruto, Gachagua na genge lao wamesalimu amri. Kushughulikia hoja ya ugumu wa maisha bei ya vyakula inashuka.

Kwani wewe unaandika kwa mada ipi jombi?
 
Umeielewa mada lakini jombi? Hoja hapa ni kuwa hatimaye Ruto, Gachagua na genge lao wamesalimu amri. Kushughulikia hoja ya ugumu wa maisha bei ya vyakula inashuka.

Kwani wewe unaandika kwa mada ipi jombi?
Kitakachoshusha bei sio maneno ya Wanasiasa Bali uzalishaji kuongezeka..

Kumbuka hawakupandisha wao Bali forces za supply vs demand
 
Back
Top Bottom