Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Umeielewa mada lakini jombi? Hoja hapa ni kuwa hatimaye Ruto, Gachagua na genge lao wamesalimu amri. Kushughulikia hoja ya ugumu wa maisha bei ya vyakula inashuka.

Kwani wewe unaandika kwa mada ipi jombi?
Anayo HOJA,

Ukisema itashuka chini ya 2000 ya Tz, ulipasa kueleza ilipanda Kwa kiasi Gani Hadi ije ishuke.

Ongeza minofu kama hutojali.
 
Kitakachoshusha bei sio maneno ya Wanasiasa Bali uzalishaji kuongezeka..

Kumbuka hawakupandisha wao Bali forces za supply vs demand

Usipojua umuhimu wa utawala bora unapata wapi uhalali wa jambo lolote?

FtpSVUVWwAE0FAN.jpeg
 
Anayo HOJA,

Ukisema itashuka chini ya 2000 ya Tz, ulipasa kueleza ilipanda Kwa kiasi Gani Hadi ije ishuke.

Ongeza minofu kama hutojali.

Ndiyo maana kuna rejea mbili kwenye mada.

Hukuziona rejea (references) zile mle? Hizo zina nyama, minofu, mafuta, kisusio pamoja na mifupa.

Hiyo si ndiyo kazi ya references au wewe ulidhani hizo huwa ni za nini ndugu?
 
Inafika huku?

View attachment 2588571

Acha kujidhalilisha ndugu.

Kwamba hujishangai, wewe ni wa kuhurumia.
Tatizo hauelewi concept nzima ya ukaguzi wa hesabu na hapo huyo kipanya ndiyo thinking tank yako au role model wako, bado tuna safari ndefu sana. Educate yourself kwenye some of these aspects before coming out stupid publicly
 
Tatizo hauelewi concept nzima ya ukaguzi wa hesabu na hapo huyo kipanya ndiyo thinking tank yako au role model wako, bado tuna safari ndefu sana. Educate yourself kwenye some of these aspects before coming out stupid publicly

Siongelei ukaguzi. Naongelea wizi. Wizi kama haudhibitiwi uzalishaji upi usaidie nini?

FtHA4BjXwAEJB4j.jpeg


Watu wanakula kama nzige.

Kwamba waingie nzige kwenye shamba lako uamue uwaache wale wakishiba wataondoka?

"Watashiba vipi nzige ndugu kama wanakula huku wakijisaidia (wakati huo huo)?"
 
Siongelei ukaguzi. Naongelea wizi. Wizi kama haudhibitiwi uzalishaji upi usaidie nini?

View attachment 2588591

Watu wanakula kama nzige.

Kwamba waingie nzige kwenye shamba lako uamue uwaache wale wakishiba wataondoka?

"Watashiba vipi nzige ndugu kama wanakula huku wakijisaidia (wakati huo huo)?"
Hizo zote ni allegations, mwizi anathibitishwa na mahakama, up your game brother
 
Tatizo hauelewi concept nzima ya ukaguzi wa hesabu na hapo huyo kipanya ndiyo thinking tank yako au role model wako, bado tuna safari ndefu sana. Educate yourself kwenye some of these aspects before coming out stupid publicly
Pesa za compaign za uchaguzi Unadhani Huwa zinatoka wapi?

Mkapa ktk kitabu chake amekiri kuiba billions Kwa ajili ya kufinance uchaguzi CCM na zilionekana ktk Ripoti za CAG kama mapungufu hayo hayo unayoita concepts za ukaguzi wa hesabu.

Na kama unaamini Si wizi, kwann chama Cha mambuzi hakikubali kupokezana na upinzani madaraka Ili wananchi wawapime CAPACITY Yao kiutendaji ktk kusimamia raslimali na pesa za Umma?
 
Pesa za compaign za uchaguzi Unadhani Huwa zinatoka wapi?

Mkapa ktk kitabu chake amekiri kuiba billions Kwa ajili ya kufinance uchaguzi CCM na zilionekana ktk Ripoti za CAG kama mapungufu hayo hayo unayoita concepts za ukaguzi wa hesabu.

Na kama unaamini Si wizi, kwann chama Cha mambuzi hakikubali kupokezana na upinzani madaraka Ili wananchi wawapime CAPACITY Yao kiutendaji ktk kusimamia raslimali na pesa za Umma?
Hizi ni speculations and assumptions
 
Sasa serikali ipo kwa manufaa gani kiongozi?

Kwa kukusaidia tu government policies sa zingine ndio zinazoamua nguvu ya soko iweje. Hiyo ni commerce form two
It is a theory km huna Mfano wa sera iliyotufikisha hapa
 
Hizo zote ni allegations, mwizi anathibitishwa na mahakama, up your game brother

Kwamba hizi ni allegations:

FtDpG2cakAAY5Or.jpeg


FtP5ui9WwAAcX6v.jpg


Kwani wale stupid wanasingiziwa? Au Unadhani Mh. Rais amepotoka?

Au wewe ni mdau kwenye wizi wa kufuru huu?
 
Hizi ni speculations and assumptions
Mkapa aliandika kitabu Kwa assumptions?

Kwenda shule ni jambo moja, KUELIMIKA ni jambo jingine.

Maskini anapelekwa shule na Kijiji Ili akielimika arudi kuisaidia JAMII yake kutatua matatizo, matokeo yake anarudi na kiingereza kingi na dharau Kwa walomtuma KAZI na matokeo chanya yasionekane.

Mwizi atabaki kuwa Mwizi tu hata kama anaendeshwa ndani ya V8!!
 
Wanapoteza hela nyingi kwa watu kufunga biashara kupisha maandamano,,watalii wana acha kutembelea nchi yao, badala ya kwenda kulima, nguvu kazi iko barabarani inapambana na polisi. Yule mzee ni li jinga sana

Hoja yako dhaifu sana. Kwenye kupigania haki, biashara kitu gani kama watu wako tayari kupoteza maisha ndugu?
 
Kufuatia maandamano ya kizalendo Kenya, serikali ya huko, imeamua kushusha bei za vyakula.

View attachment 2588177

Upinzani unataka bei ya unga kwa kilo isizidi 2,000/- za kitanzania, vinginevyo wanarudi Tahrir.

Unga prices to drop from next week, President Ruto pledges

Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine) wanakodai kuwa hizi ni harakati za wajaluo au kuwa hata ni za kikabila, isipokuwa Tanzania. Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!

"Hivi pilipili usisozila zinakuwasha nini?"

Wakenya wana matatizo Yao wanayoyatambua. Kwamba ni yao na kuwa hawana mjomba wala shangazi wa kuwatatulia.

Wanajua mfumbuzi wa matatizo yao ni wao wenyewe. Hawatafuti visingizio, mchawi wala kujaribu kuyakimbia. Wanajua matatizo hukabiliwa, tena kwa vitendo si kwa maneno.

"Maneno matupu hayavunji mfupa."

Inafahamika kuwa hata huko walamba asali, wahuni na hata vijana wa hovyo wapo. Kwamba yaliyoko kwetu na kwao yapo. Hata hivyo ujasiri wa viongozi wao wenye misimamo isiyotetereka ni jambo la kupigiwa mfano sana.

Kushuka kwa bei za bidhaa muhimu Kenya ni kwa manufaa ya wakenya wote.

"Liko kama mtego wa panya wenye kunasa waliomo na wasiokuwamo."

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.

Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Mengine yote ni manjonjo tu.
wameanza kuvuna. hao wapinzani wapuuzi tu hawana ajenda wala hoja ya maana
 
wameanza kuvuna. hao wapinzani wapuuzi tu hawana ajenda wala hoja ya maana
Ila mwenye hoja maana mtanzania wewe ukiwa hapo Nanjilinji na bado hujishangai.

"Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!"

Kama wewe kwenye mada, wazi wazi mliangaziwa.
 
Back
Top Bottom