Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Usiniwekee maneno mdomoni mjomba. Hivyo jifunze kwanza kusoma mada kabla ya kuchangia.

Kwa msingi huu ulichoandika hakihusiani na mada, uko nje ya mada na hivyo wako utatusaidia tuuite je.

Mada ni kuwa serikali ya Kenya imelazimishwa kushusha na waandamanaji.

Ulinganifu na sisi ni kuwa vipi wenzetu wanafanikiwa lakini siyo sisi.

Jitathimini kama umejikita kwenye mada hiyo. Kama sivyo itapendeza ukijitendea haki mwenyewe kutupa mrejesho kuwa hukuelewa.
Nimeshakujibu hoja hii, wamefanikiwa sababu Bei yao ilikuwa kubwa Sana, Even hio Bei elekezi yao kwa sasa ni kubwa kushinda Bei yetu.
 
Unataka unga ushuke Tz si ulime shamba lako...unafata wakenya ambao wamezungukwa na jangwa
 
brazaj mfano wako wa maandamano ya Kenya kumhushisha Laila unakosea sana. Ukijikumbusha vita ya Mau Mau utaona kwamba wala si suala la Laila Wakenya kuwa vile.

Lakini pia unajua ushawishi wa Laila Nairobi unatokana na nini. Tafuta kwa karibu habari za Kibera ujielimishe. Mbona siyo Kenya Nzima walioandamana??

Maandamano huratibiwa kwa watu waliotayari kuandamana ila huwezi kuratibu maandamano kwa watu wasio tayari kuandamana. Watanzania ni waoga wa kuandama dhidi ya serikali. Kenya hata bila ya Raila wataandamana tu maslahi yao yanapotishiwa!!

Nimejibu hoja zako mbili zile, nikidhani na ya Liz Truss iko hapa kumbe sivyo. Kwa vile uliileta nitaitembelea pia.

Nitategemea tuwe na forum moja kama ni nia ya majadiliano ya dhati, siyo hii ya kuruka ruka. Hii itafaa kwa flow nzuri na inapobidi inaweza kuwa muhimu kutoa maelezo marefu labda pamoja na references kadha wa kadha. (Ni maoni yangu tu.)

--------

Nikikurejea sasa kwenye post hii ambapo nitalazimika kuzijibu hoja zako kirefu, nikiweka references kadhaa zilizo relevant.

(a) Kwamba watanzania ni waoga:

1. Hoja hii itakuwa ni matusi ya wazi kwa watanzania waliokuwa JKNIA LIssu #1 na hata LIssu Kiluvya alipokuwapo pia Askofu Mwamakula. Wakati huo madarakani akiwapo jiwe kweli kweli pamoja na washirika wake.

Ninaamini kamanda LIssu hawezi kukubaliana na hoja yako hiyo isiyokuwa na afya wala ukweli wowote.

2. Hoja hii ni matusi kwa wazanzibari na wahanga wa risasi za moto kutoka kwa wanaosemekana kuwa askari wa kukodiwa kutokea nchi jirani:



Hiyo ikiwa ni ACT chini ya Maalim Seif (rip).

Ninaamini Maalim Seif akiwa hai angeipinga hoja (mufilisi) yako hiyo.
3. Kumbuka mauaji kwenye maandamano Zanzibar, 27/1/2000, CUF chini ya Maalim Seif.
4. Nani asiyeujua uliokuwa moto wa Chadema chini ya Dkt. Slaa na harakati zilizokuwapo? Nani asiyeujua uliokuwa moto wa wazanzibari chini ya Maalim Seif?
5. Nk nk.

Kuhusiana na hoja yako hiyo, hapa chini ni uzi wenye maelezo ya kina, kama nia yako ni kujadiliana kupata ufumbuzi wa mikwamo yetu yenye kushangaza.

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi

Watanzania walioangaziwa hapo juu ni hawa hawa waliopo leo. Kumbe nini kimebadilika kuwaita wewe leo kuwa ni waoga ndugu?

(b) Kushindwa kutambua umuhimu wa Raila kwenye mapambano haya:

1. Raila hana njaa wala hao viongozi wenziwe. Kwa nini kama Raila si muhimu, maandamano Kenya hayakutokea kabla ya Raila kuyaitisha au hayakuendelea baada ya yeye kuyasitisha ikiwa kumbe kila mmoja alitokea huko kwenye maandamano kivyake vyake (na njaa yake) kama mvua?

2. Hapa zingatia kuwa Zanzibar wameandamana na CUF chini ya Maalim si vingine. Pia wameandamana na ACT chini ya Maalim si vingine. Kenya wanaandamana na Raila, siyo Karua wala Musyoka, na huo ndiyo ulio ukweli. Labda kama unadhani CUF waliandamana na Lipumba au ACT waliandamana na Zitto.

Kujaribu kuukimbia ukweli huo labda kama unataka kujitoa ufahamu tu au kutaka kuacha kujitendea haki wewe mwenyewe.

Harakati za ukombozi kama hizi, ambako maandamano ni silaha pekee hayajaacha kuwa na icons. Wamekuwapokina Mandela, Nyerere, Tutu, Mtikila, Malema nk. Hii kote duniani kama tunavyo wasikia kina Dalai Lama, Aung San Suu Kyi, nk.

Uzi huu hapa hapa chini una maelezo ya kina kuhusiana na hoja yako hii:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

(c) Maandamano huratibiwa:

Hakuna mahali popote nilipotumia neno kuratibiwa. Hivyo sijui ni kwa mantiki ipi unalitumia. Hilo ninakiachia mwenyewe.

(d) Kumhusu Liz Truss:

Nimemtumia huyu kuonyesha jinsi demokrasia isivyodanganya. Nikionyesha kuwa tuweke misingi huru, ya haki na demokrasia katika kupata viongozi wetu kulingana na agenda na malengo yetu.

Kwamba mtu anaweza kutokuwa anatufaa, huyo tutamtoa au kudumu naye kwa wakati wowote kulingana na outputs zake.

Kwamba kiongozi ni lazima awe na uungwaji mkono wa kutosha. Ambapo akipoteza huo anatoka au tutamtoa bika kusubiri.

(e) Siyo Kenya yote inayoandamana:

Haikuihitaji Kenya yote kuandamana kumfikisha Ruto na genge lake alipofikishwa. Hayo yako kwenye mada:

"Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine) wanakodai kuwa hizi ni harakati za wajaluo au kuwa hata ni za kikabila, isipokuwa Tanzania. Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!"

Bado Raila hana watu wa kufikia 5,000 anaoambatana nao Nairobi, kuitia jamba jamba ya kutosha serikali ya Kenya.

"Inafahamika kuwa hata huko walamba asali, wahuni na hata vijana wa hovyo wapo. Kwamba yaliyoko kwetu na kwao yapo. Hata hivyo ujasiri wa viongozi wao wenye misimamo isiyotetereka ni jambo la kupigiwa mfano sana."

NInasimama na hoja yangu kuwa kuhamasisha na kuongoza maandamano ni wajibu wa viongozi wa harakati za ukombozi.

Kiongozi asiyeliweza hilo ni vyema akang'atuka mwenyewe au akang'atuliwa.

Hatuna upungufu wa watu wenye kuwa na ari, dhamira, kujitoa, nk, kuyafanikisha majukumu yoyote tunayojipangia kidemokrasia katika vyama.
 
Nimeshakujibu hoja hii, wamefanikiwa sababu Bei yao ilikuwa kubwa Sana, Even hio Bei elekezi yao kwa sasa ni kubwa kushinda Bei yetu.

Haya hapa ni maneno yako:

"Kwanza jifundisheni kusoma hoja, na kutotoka nje ya hoja, mleta mada ameleta hoja kwamba Kenya wapo vizuri wameshusha bei ya Unga akilinganisha na Tanzania"

Utakuwa umenijibu vipi wakati nakwambia unachosema kuwa ni hoja niliyoleta sicho ndugu? 🤣🤣
 
Uwajibikaji gani wewe unaoutaka??

Hii ni moja ya zile za kuruka ruka nilizosema. Niijibu hii kwa ufupi kwa reference. Ikikupendeza soma angalau:

Post #61, 63, 66 na 67 kwenye uzi huu:

Nguvu ya Umma Senegal, funzo jingine kwetu

Baada ya posts hizo 4 soma pia post #1 ikikupendeza.

Uwajibikaji huo umeelezwa bayana.

Angalizo: kwenye uzi wa rejea posts namba zangu zinaweza kuwa tofauti na zako kutokana na tofauti zetu katika ignore lists.

Cha msingi posts hizo ni sequential yaani majibizano endelevu (mwanzo - mwisho) baina yangu na Zawadini mjumbe mwuungwana kutokea Zanzibar (heshima kwake) mwenye uzoefu wa kiuhalisia na kivitendo kutokea Zanzibar.

Ya nini kuandikia mate?

Hapa chini ni #61 (post yake ya kwanza) kwa urahisi wako kuweza kuzitambua 63, 66 na 67 kwenye uzi huo ikikupendeza:

Screenshot_20230416-051319.jpg
 
Unataka unga ushuke Tz si ulime shamba lako...unafata wakenya ambao wamezungukwa na jangwa

Kumbe kwa nini kuna Bei elekezi kwenye sekta zingine kama mabasi, vituo vya mafuta nk?

Au una maana saaa kila mtu na lake? Kwamba huafiki nauli ya bus kanunue lako? Huafiki bei ya mafuta petrol station kafungue yako?
 
Kwaiyo we unataka tufanye nini Tuandamane aza wewe kwanza na baba ako kisha wengine tutafuata

Tangu lini wahuni, walamba asali au wale vijana wa hovyo wakahusishwa kwenye shughuli za ukombozi ndugu? Kwani hukuyaona kwenye mada?
 
Wala sioni kama ni suala la kuoneana aibu au vinginevyo, kwangu naona tatizo lipo kwetu na ndio maana wengine husema wacha kina Mbowe walambe asali, wameshahangaikia sana watu wasiojitambua badala yake hakuna walichoambulia zaidi ya kufungwa jela wao binafsi.

Kama watanzania tungekuwa tunajitambua, yule Mbowe asingefungwa jela miezi sita, lakini kwa wakenya hali ni tofauti, wakijaribu kumkamata Raila, wakenya wataingia barabarani naturally, ndio maana nakwambia wakenya movement zao zinaanzia inside, wala sio lazima awepo kiongozi wa kuwaamsha.

Nimeyasoma vizuri mawazo yako, hata hivyo nashindwa kukubaliana nawe ndugu mjumbe.

Ikumbukwe kutofautiana kimawazo hasa katika mapambano ya ukombozi ni jambo la afya tu. Ndiyo maana SA kulikuwa na ANC pia PAC wote wakiwa marafiki wa Tanzania ya Nyerere. Bado Chris Hani aliyekuwa mwanachama wa PAC akawa mkuu wa majeshi ya ukombozi ya ANC, Umkonto we Sizwe.

(Aibu kwake mjumbe huyu UmkhontoweSizwe lakini).

Anasema Chidumule, hata watoto mapacha hutokea wakati hukosa kuelewana sembuse mimi na wewe?

Kwa kauli yako hii:

"... ndio maana wengine husema wacha kina Mbowe walambe asali, .."

Tegemea siku moja kusikia kina Mdee kurejea CDM na longo longo za kuwa wamesamehewa.

Nikuombe kuitunza post yako hiyo Inshallah tutakumbushana siku moja isiyokuwa mbali sana.

"Hii nchi haitakombolewa na wahuni, walamba asali au wale vijana wa hovyo."

Kutokuangaliana usoni niliko jatrbu kukuonyesha hakuna maana ya kuoneana aibu peke yake kama unavyojatibu kuninukuu. Hapa nimemaanisha dhana nzima ya kutoelezana ukweli kwa sababu zozote zile.

Sababu za kutoelezana ukweli zipo nyingi zikiwamo pia uchawa, hofu, opportunism (u - mkakati), malengo fiche, hujuma, nk.

Opportunism pia malengo (fiche) yenye mwelekeo wa njaa binafsi si ya kupuuza. Ikumbukwe ukombozi wa nchi hii ni muhimu zaidi kuliko mtu au jambo lolote linalolenga maslahi binafsi.

Raila anaitikisa Kenya na watu wasiofika 5,000 kwenye harakati zake za ukombozi Nairobi. Kenya haiandamani nchi nzima wala si watu wote.

"Inafahamika kuwa hata huko walamba asali, wahuni na hata vijana wa hovyo wapo. Kwamba yaliyoko kwetu na kwao yapo. Hata hivyo ujasiri wa viongozi wao wenye misimamo isiyotetereka ni jambo la kupigiwa mfano sana."

Mbowe asingekamatwa Mwanza kama kungepatikana watu angalau 2,000 tu kuwa naye kibindoni kama inavyotokea kwa Odinga.

Mkutano aliokamatwa Mbowe ulikuwa wa chama.

Unamaana walikosekana wanachama 2,000 kati ya wanachama 8m + wa Chadema kuweka mazingira ya Mwenyekiti Mbowe kutokukamatwa?

Unadhani dhima zaidi ya kuhakikisha Mbowe hakamatwi ilikuwa kwa nani? Wafuasi zaidi (wanachama) wa Chadema au watanzania (wasio na vyama, TLP, CHAUSTA, hadi wa CUF huko) unaojaribu kuwaangushia jumba bovu?

Kwani BAVICHA jukumu lao nini Kumbe? Kwamba kumbe BAVICHA wanadhani nani ampiganie zaidi Mbowe kuliko wao?

"Niwaombe joni, Paskali na wenzao wa maana wanilinde kwa maana siasa siyo uadui."

Uzi huu hapa chini unahusika:

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi

"Vita hivi ni vya kupiganwa Kwa vitendo na sisi siyo kwa kusakizia wengine kama ilivyoelezwa kwenye uzi huo hapo juu. Mbona Raila halii lii kuhusu kuungwa mkono? Mbona hakuna popote duniani wapigania haki walukowahi kulia lia kuhusu kuungwa mkono? Mbona si Maalim Seif? Mbona si wakati wa Chadema ya Dkt. Slaa?"

Hata hivyo, kama una maana wafuasi japo 2,000 hawakupatikana na hata BAVICHA nao hawapo, labda uwe wazi kuwa Chadema hawakuwa tayari kumlinda Mbowe au hawakuwa na mkakati wowote kuhusu usalama wa viongozi wao muhimu. Hakuwezi kuwa na jambo kingine ndugu mjumbe.

Kwamba chama hakikuwa tayari kumlinda #1 wao. Labda kama unafanya masikhara.

Kama ndivyo wa kulaumiwa ni Chadema na kuwajibishana kukafuata. Shughuli hizi zinahutaji mpanga mikakati mkuu mahiri sana (Chief Strategist). Haiwezi kuwa bora liende.

"Ukweli uko wazi na unajulikana. Tuwe na ujasiri wa kumfunga paka kengele."

Kuna hii post hapo juu. Kwangu ni namba #126 (kwenye uzi huu) nikimjibu bwana Allen Kilewella akiuliza wajibu ninaoutaka. Sijui kwako inaweza kuwa inasoma ni posts namba ngapi kutokana na tofauti hasa zikihusisha wajumbe tunao ignore. Ninadhani ina maelezo zaidi kuhusu mkwamo wetu tunaojaribu kuuangazia na hata kutaka kuwalaumu nao wasiohusika:

Hii ni moja ya zile za kuruka ruka nilizosema. Niijibu hii kwa ufupi kwa reference. Ikikupendeza soma angalau:

Post #61, 63, 66 na 67 kwenye uzi huu:

Nguvu ya Umma Senegal, funzo jingine kwetu

Baada ya posts hizo 4 soma pia post #1 ikikupendeza.

Uwajibikaji huo umeelezwa bayana.


Ikikupendeza tafadhali kwani ninajua si joni, Paskali au wenzao atatokea hapa kutia neno.

Niliwahi kusema tunalazimika kuyaandika haya waziwazi vigezo na masharti yote yakizingatiwa katikati ya fisi na mamba wenye uchu na njaa kali.

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
.
 
Mbona hujatuonyesha mchanganuo wa bei zilivyoshuka badala yake unaongea ujinga ujinga tuu.

Tanzania Huwa haiigi upuuzi, uzalishaji na soko ndio vitaamua bei.
Acha porojo. Kuna utopolo mmoja alidai kila kitu kitapanda bei. Hiyo ni kabla ya vita ya Ukraine. Vilivyokuja kupanda kabla ya hiyo vita, baadae ikawa kisingizio kuwa vita ndio imepandisha bei ya kila kitu. Serikali dhaifu, hushirikiana na wafanyabiashara kuumiza wananchi. Mfano tu bando za makampuni ya simu.
 
Nimeyasoma vizuri mawazo yako, hata hivyo nashindwa kukubaliana nawe ndugu mjumbe.

Ikumbukwe kutofautiana kimawazo hasa katika mapambano ya ukombozi ni jambo la afya tu. Ndiyo maana SA kulikuwa na ANC pia PAC wote wakiwa marafiki wa Tanzania ya Nyerere. Bado Chris Hani aliyekuwa mwanachama wa PAC akawa mkuu wa majeshi ya ukombozi ya ANC, Umkonto we Sizwe.

(Aibu kwake mjumbe huyu UmkhontoweSizwe lakini).

Anasema Chidumule, hata watoto mapacha hutokea wakati hukosa kuelewana sembuse mimi na wewe?

Kwa kauli yako hii:

"... ndio maana wengine husema wacha kina Mbowe walambe asali, .."

Tegemea siku moja kusikia kina Mdee kurejea CDM na longo longo za kuwa wamesamehewa.

Nikuombe kuitunza post yako hiyo Inshallah tutakumbushana siku moja isiyokuwa mbali sana.

"Hii nchi haitakombolewa na wahuni, walamba asali au wale vijana wa hovyo."

Kutokuangaliana usoni niliko jatrbu kukuonyesha hakuna maana ya kuoneana aibu peke yake kama unavyojatibu kuninukuu. Hapa nimemaanisha dhana nzima ya kutoelezana ukweli kwa sababu zozote zile.

Sababu za kutoelezana ukweli zipo nyingi zikiwamo pia uchawa, hofu, opportunism (u - mkakati), malengo fiche, hujuma, nk.

Opportunism pia malengo (fiche) yenye mwelekeo wa njaa binafsi si ya kupuuza. Ikumbukwe ukombozi wa nchi hii ni muhimu zaidi kuliko mtu au jambo lolote linalolenga maslahi binafsi.

Raila anaitikisa Kenya na watu wasiofika 5,000 kwenye harakati zake za ukombozi Nairobi. Kenya haiandamani nchi nzima wala si watu wote.

"Inafahamika kuwa hata huko walamba asali, wahuni na hata vijana wa hovyo wapo. Kwamba yaliyoko kwetu na kwao yapo. Hata hivyo ujasiri wa viongozi wao wenye misimamo isiyotetereka ni jambo la kupigiwa mfano sana."

Mbowe asingekamatwa Mwanza kama kungepatikana watu angalau 2,000 tu kuwa naye kibindoni kama inavyotokea kwa Odinga.

Mkutano aliokamatwa Mbowe ulikuwa wa chama.

Unamaana walikosekana wanachama 2,000 kati ya wanachama 8m + wa Chadema kuweka mazingira ya Mwenyekiti Mbowe kutokukamatwa?

Unadhani dhima zaidi ya kuhakikisha Mbowe hakamatwi ilikuwa kwa nani? Wafuasi zaidi (wanachama) wa Chadema au watanzania (wasio na vyama, TLP, CHAUSTA, hadi wa CUF huko) unaojaribu kuwaangushia jumba bovu?

Kwani BAVICHA jukumu lao nini Kumbe? Kwamba kumbe BAVICHA wanadhani nani ampiganie zaidi Mbowe kuliko wao?

"Niwaombe joni, Paskali na wenzao wa maana wanilinde kwa maana siasa siyo uadui."

Uzi huu hapa chini unahusika:

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi

"Vita hivi ni vya kupiganwa Kwa vitendo na sisi siyo kwa kusakizia wengine kama ilivyoelezwa kwenye uzi huo hapo juu. Mbona Raila halii lii kuhusu kuungwa mkono? Mbona hakuna popote duniani wapigania haki walukowahi kulia lia kuhusu kuungwa mkono? Mbona si Maalim Seif? Mbona si wakati wa Chadema ya Dkt. Slaa?"

Hata hivyo, kama una maana wafuasi japo 2,000 hawakupatikana na hata BAVICHA nao hawapo, labda uwe wazi kuwa Chadema hawakuwa tayari kumlinda Mbowe au hawakuwa na mkakati wowote kuhusu usalama wa viongozi wao muhimu. Hakuwezi kuwa na jambo kingine ndugu mjumbe.

Kwamba chama hakikuwa tayari kumlinda #1 wao. Labda kama unafanya masikhara.

Kama ndivyo wa kulaumiwa ni Chadema na kuwajibishana kukafuata. Shughuli hizi zinahutaji mpanga mikakati mkuu mahiri sana (Chief Strategist). Haiwezi kuwa bora liende.

"Ukweli uko wazi na unajulikana. Tuwe na ujasiri wa kumfunga paka kengele."

Kuna hii post hapo juu. Kwangu ni namba #126 (kwenye uzi huu) nikimjibu bwana Allen Kilewella akiuliza wajibu ninaoutaka. Sijui kwako inaweza kuwa inasoma ni posts namba ngapi kutokana na tofauti hasa zikihusisha wajumbe tunao ignore. Ninadhani ina maelezo zaidi kuhusu mkwamo wetu tunaojaribu kuuangazia na hata kutaka kuwalaumu nao wasiohusika:

Hii ni moja ya zile za kuruka ruka nilizosema. Niijibu hii kwa ufupi kwa reference. Ikikupendeza soma angalau:

Post #61, 63, 66 na 67 kwenye uzi huu:

Nguvu ya Umma Senegal, funzo jingine kwetu

Baada ya posts hizo 4 soma pia post #1 ikikupendeza.

Uwajibikaji huo umeelezwa bayana.


Ikikupendeza tafadhali kwani ninajua si joni, Paskali au wenzao atatokea hapa kutia neno.

Niliwahi kusema tunalazimika kuyaandika haya waziwazi vigezo na masharti yote yakizingatiwa katikati ya fisi na mamba wenye uchu na njaa kali.

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
.
Mengi unayoandika naona hayaendani na kile ninachokisimamia, mimi pointi yangu hapa ni moja tu, watanzania ni waoga.

Hata mifano unayotoa naona haiendani na hiki nachozungumzia, kwa mfano unawazungumzia wale waliojitokeza kumpokea Lissu uwanja wa ndege kama ndio waandamanaji walijitokeza, huu mfano wako sio sahihi.

Kwasababu ile shughuli ya kwenda kumpokea Lissu haikukutana na kikwazo chochote, hapakuwepo na vitisho vyovyote toka kwa jeshi la polisi tofauti na kwenye maandamano mengine, kwanza shughuli yenyewe ilikuwa ni kumpokea, kisha "maandamano" yakafuata baadae kama kumsindikiza, kwangu ile ilikuwa ni kama sherehe tu.

Nikuulize, hivi wakati ule Chadema wakiitisha maandamano na kina Mambosasa wakisema watakaojitokeza watavunjwa miguu, uliwahi kuwaona watu wakijitokeza? hii ni tofauti kabisa na Kenya unapotolea mfano, wakenya hawako kama sisi.

- Nimeona mahala Mdude anasema patakuwepo na maandamano ya amani kutaka waliohusika kwenye upotevu wa pesa ripoti ya CAG wachukuliwe hatua.

Ngoja tuone kama patakuwepo na vitisho toka kwa jeshi la polisi na reaction ya waandamanaji itakuwaje, japo inawezekana wakaruhusiwa kuandamana bila vitisho sababu awamu hii ya Samia haijawa na vitisho.

Mambo mengine unayozungumzia naona hizo ni fikra zako tu, mimi siungi mkono kina Mdee kurudishwa Chadema kwa sababu yoyote, na hata ule mfano niliotoa kwa baadhi ya watu kusema bora kina Mbowe walambe asali sababu watz ni wajinga na waoga, huo ni mtazamo wao niliokuandikia, sio wangu.
 
Acha porojo. Kuna utopolo mmoja alidai kila kitu kitapanda bei. Hiyo ni kabla ya vita ya Ukraine. Vilivyokuja kupanda kabla ya hiyo vita, baadae ikawa kisingizio kuwa vita ndio imepandisha bei ya kila kitu. Serikali dhaifu, hushirikiana na wafanyabiashara kuumiza wananchi. Mfano tu bando za makampuni ya simu.
Kwani Kila kitu kilipanda bei? Mbona Sukari,mabati,nguo nk havikupabda bei?
 
Kumbe kwa nini kuna Bei elekezi kwenye sekta zingine kama mabasi, vituo vya mafuta nk?

Au una maana saaa kila mtu na lake? Kwamba huafiki nauli ya bus kanunue lako? Huafiki bei ya mafuta petrol station kafungue yako?
Kwahyo unataka bei elekezi ya unga wa ugali? ..siurudi kjjn kwako ukalime mahindi,
 
Hauko sahihi ndugu.

Maandamano yanataka hamasa na organization ya kutosha. Ni jukumu la watu kufanikisha hayo. Hayawezi kuja kama mvua.

Ulichoandika ni visingizio vya kawaida vya viongozi dhaifu wenye kuvitumia vyama zaidi kama fursa za kimapato yao binafsi. Zingatia viongozi hawa wanalipwa.

Kenya bila Raila, hakuna hamasa wala maandamano tunayoyaona sasa.

Raila kaitisha maandamano yakawepo. Alipoitisha kusitishwa yakasimama. Kenya hawajaandamana Kwa sababu tu ya sababu zilizotolewa.

Kama maandamano yalikuwa ni kwa sababu zilizotolewa tu, mbona hayakuanza bila Raila au bila kuyaitisha au hayakuendelea bila yeye baada ya yeye kuyasitisha?

La msingi tufahamu Kenya wamehamasishwa na wako organized vilivyo. Hiyo haikutokea kwao kama ajali na haitatokea kwetu kama ajali.

Hayupo anayemlenga chadema, viko vyama vingi ikiwamo wao. Aliyeshindwa kuwa organize na kuwahasisha watu hata akathubutu kutamka kukosa uungwaji mkono angali vipi ofisini leo?

Kwa nini utaratibu wa kupata viongozi kwenye vyama hivi across the board usiwe huru, haki na kidemokrasia kupitia primaries za wazi kama ilivyo kwake beberu? Watu wakagombea Kwa kuzingatia agenda na malengo yetu ya ukombozi na wakapimwa kwa outputs zao?

Watu wenye uwezo wa kuendesha kwa ufanisi kwenye malengo yetu wapo wengi.

Kwanini tusiwape nafasi hizo walio tayari tuone matokeo?

Zingatia Liz Truss alikaa ofisini Kwa siku 45 Kwa kutokukidhi matarajio.

Tupateje viongozi wasiofika vigezo vyetu Kwa utaratibu huu.

Ya nini kuliita koleo kuwa ni kijiko kikubwa?

Mawazo kama yenu mkuu yanaturudisha nyuma sana.

Cc: Zawadini
Mkuu waache walale usingizi wakiamka itakuwa kumekucha. Watanzania tunafunzwa siasa mashuleni/vyuoni kama somo la lazima na huenda athari ya hilo ni haya tunayoshuhudia sasa. Tumekuwa watu wa maneno mengi vitendo hakuna.
 
Kwahyo unataka bei elekezi ya unga wa ugali? ..siurudi kjjn kwako ukalime mahindi,
Sitaki bei elekezi kwenye lolote na wewe kafungue kituo chako cha mafuta, kanunue basi au dala dala lako nk shida iko wapi?
 
Mengi unayoandika naona hayaendani na kile ninachokisimamia, mimi pointi yangu hapa ni moja tu, watanzania ni waoga.

Hata mifano unayotoa naona haiendani na hiki nachozungumzia, kwa mfano unawazungumzia wale waliojitokeza kumpokea Lissu uwanja wa ndege kama ndio waandamanaji walijitokeza, huu mfano wako sio sahihi.

Kwasababu ile shughuli ya kwenda kumpokea Lissu haikukutana na kikwazo chochote, hapakuwepo na vitisho vyovyote toka kwa jeshi la polisi tofauti na kwenye maandamano mengine, kwanza shughuli yenyewe ilikuwa ni kumpokea, kisha "maandamano" yakafuata baadae kama kumsindikiza, kwangu ile ilikuwa ni kama sherehe tu.

Nikuulize, hivi wakati ule Chadema wakiitisha maandamano na kina Mambosasa wakisema watakaojitokeza watavunjwa miguu, uliwahi kuwaona watu wakijitokeza? hii ni tofauti kabisa na Kenya unapotolea mfano, wakenya hawako kama sisi.

- Nimeona mahala Mdude anasema patakuwepo na maandamano ya amani kutaka waliohusika kwenye upotevu wa pesa ripoti ya CAG wachukuliwe hatua.

Ngoja tuone kama patakuwepo na vitisho toka kwa jeshi la polisi na reaction ya waandamanaji itakuwaje, japo inawezekana wakaruhusiwa kuandamana bila vitisho sababu awamu hii ya Samia haijawa na vitisho.

Mambo mengine unayozungumzia naona hizo ni fikra zako tu, mimi siungi mkono kina Mdee kurudishwa Chadema kwa sababu yoyote, na hata ule mfano niliotoa kwa baadhi ya watu kusema bora kina Mbowe walambe asali sababu watz ni wajinga na waoga, huo ni mtazamo wao niliokuandikia, sio wangu.

Hapa hatukomai tunayosimamia wala kiimani bali tunajadiliana kwa hoja kutambua changamoto zinazotukabili. Tofautisha mijadala ya kidini ambako tunayosimamia yaani imani ndiyo yanayojadiliwa.

Inafauhamika kuwa tofautiana kwa hoja kwenye harakati zozote za ukombozi ni jambo la afya tu ndugu.

"Kwamba iifano ninayotoa kuwa haiendani na unachokizungunzia?"

Ninadhani zaidi sana unachokizungunzia ni kuwa watanzania ni waoga. Hilo ninalipinga kwa hoja. Si sahihi kudhani JKNIA LIssu #1 au Kiluvha showdown zilikuwa nyepesi kama kihivyo.

Ed7tAaTXYAAKmfy.jpeg


Hao walikuwa mamwela wavunja miguu ya watu wenyewe tena kwenye ubora wao.

Kipindi hicho Sirro na Mambosasa walitaka asiende mtu JKNIA vinginevyo angevunjwa miguu. Lissu Kiluvya njiani kwenda pwani ilikuwa hivyo hivyo.

Ninadhani hukuwepo kwenye matukio mawili haya kiasi kwamba kutaka kuyadogosha hivi ni mambo kushangaza sana. Hii ndiyo Ile waswahili wanasema mzigo wa mwenzio kwako ni kama kanda la sufi. Sidhani kama Lissu anakubakiliana na petty statements kama hizi za kuwa hizo zilikuwa sherehe.

Mengine uliyoandika sasa kwamba umeikana hadithi ya kuhalalisha kulamba asali, beberu anasema yanakuwa trivial. Yaani kwa kiswahili yanakuwa mwenye macho haambiwi tazama. Kimahesabu inakuwa ni sawa na namba + 0.

Hukuandika lolote kuhusu kuangaliana usoni kwa maana yake kamili. Mfano ziko moral obligations za waume wa ma COVID 19 kuendelea kuwa viongozi wetu?

Hukuandika lolote kuhusu nyomi ya angalau wanachadema 2,000 kwenye kuweka mazingira ya kutokamatwa Mbowe, wala hata kutambua tu kwamba BAVICHA ni Chadema pia.

Kwa sababu ya issues za muda niombe tuwe tayari kusoma rejea za posts na nyuzi. Kuandika jambo lile lile mara kibao hakuwezi kuwa na tija.

Kwa hapa ni kurejee kwenye post niliyomjibu bwana Allen Kilewella nikimwomba (bila mafanikio) tuwe na msingi mmoja wa majadiliano badala ya hii ya kuruka ruka huku na kule.

Kwangu post hiyo ni namba 124. Kwenye post hiyo nilikuwa nimeainisha hoja zake sita ambazo nilizijibu kwa mapana na marefu yake.

(a) Kwamba watanzania ni waoga.
(b) Kushindwa kutambua umuhimu wa Raila kwenye mapambano haya.
(c) Maandamano huratibiwa.
(d) Kumhusu Liz Truss.
(e) Siyo Kenya yote inayoandamana.

Ninatambua huyo bwana kama ilivyokuwa kina joni, Paskali na wenzao walichagua kutokuwa wameiona.
 
Mkuu waache walale usingizi wakiamka itakuwa kumekucha. Watanzania tunafunzwa siasa mashuleni/vyuoni kama somo la lazima na huenda athari ya hilo ni haya tunayoshuhudia sasa. Tumekuwa watu wa maneno mengi vitendo hakuna.

Allen Kilewella, denooJ na wote mnaotaka mabadiliko kwa kutegemea wananchi kuamka wenyewe bila kuhamasishwa kupambana kama mvua, bila kuwa organized wala mchango wowote wa viongozi, kuna wito wenu mahsusi hapa.
 
Back
Top Bottom