TANZIA Beki wa Kaizer Chiefs afariki dunia baada ya kupigwa risasi

TANZIA Beki wa Kaizer Chiefs afariki dunia baada ya kupigwa risasi

View attachment 2953318
PICHA KUONESHA ALIYEKUWA BEKI WA KAIZER CHIEF

Beki wa Kaizer Chiefs Luke Fleurs amefariki dunia kwa kusikitisha baada ya kupigwa risasi wakati wa utekaji nyara.

Siwezi kuamini hili baada ya kumuona siku chache zilizopita, wakati wa huzuni ya ajabu, rambirambi zangu za dhati kwa wapendwa wake. 🕊️💔 RIP

^ME
R.I.P Luke Fleurs
 
Wa-South in nature wapo aggressive saana.....mkikosana wanachofikiria nikukumaliza.

Hili lipo damuni mwao.....Visasi vipo ndani mwao. Mnaosema serikali imeshindwa kulimaliza ni vigumu saana....maana yeyote popote anaweza kuua au hata kujiua.
 
View attachment 2953318
PICHA KUONESHA ALIYEKUWA BEKI WA KAIZER CHIEF

Beki wa Kaizer Chiefs Luke Fleurs amefariki dunia kwa kusikitisha baada ya kupigwa risasi wakati wa utekaji nyara.

Siwezi kuamini hili baada ya kumuona siku chache zilizopita, wakati wa huzuni ya ajabu, rambirambi zangu za dhati kwa wapendwa wake. 🕊️💔 RIP

^ME
Yale yale yaliyomkuta Lucky Dube.
Kuishi SA ni kwa wasiwasi na mashaka sana.

Jamaa ni wavivu halafu wana wivu na husda sana na maendeleo ya mtu.
 
Wa-South in nature wapo aggressive saana.....mkikosana wanachofikiria nikukumaliza.

Hili lipo damuni mwao.....Visasi vipo ndani mwao. Mnaosema serikali imeshindwa kulimaliza ni vigumu saana....maana yeyote popote anaweza kuua au hata kujiua.
Kuna mtu alileta uzi humu eti NCHI ZENYE WAISLAMU WENGI NDIZO ZENYE VURUGU. Sasa sijui huko kusini mwa aftika nako kuna waislamu % ngapi?! Nachomaanisha hapa ni upumbavu wa baadhi ya watu ambao ikitokea mwislamu kakosea hawamwangalii kama binadamu mwingine anayeweza kukosea ila wanalifanya kosa lile kuwa ndio mrengo au sera za dini yake!! Lakini kosa hilohilo likifanywa na mtu wa dini tofauti na uislamu huchukuliwa kuwa ni tatizo lake binafsi bila kuhusisha kosa hilo na dini anayoifuata kuwa imechangia kumfanya kuwa na mrengo wa uhalifu. Sasa swali ni kwa wagalatia mnaosema eti uislamu umebeba sera za ukatili na mauaji na ugaidi , JE HAO WAZULU NI DINI GANI ILIYOWAFUNDISHA KUWA NA UKATILI NA UGAIDI??!!.
 
Back
Top Bottom