R.I.P Luke FleursView attachment 2953318
PICHA KUONESHA ALIYEKUWA BEKI WA KAIZER CHIEF
Beki wa Kaizer Chiefs Luke Fleurs amefariki dunia kwa kusikitisha baada ya kupigwa risasi wakati wa utekaji nyara.
Siwezi kuamini hili baada ya kumuona siku chache zilizopita, wakati wa huzuni ya ajabu, rambirambi zangu za dhati kwa wapendwa wake. 🕊️💔 RIP
^ME
Huwezi kuumaliza uhalifu, ila ku-minimise inawezekana.Tatizo wanawalea kwa kivuli cha haki za binadamu.
Ilibidi wahalifu wafanyiwe msako wa hatari nchi nzima.
Unasema hivyo ukiwa kama naniRoho ya marehemu ipate pumziko la milele
Mazinge kaenda sana kongo mbona bado vita vipo tu aisee mtoto wewe ni pungaGa
Hakuhitaji ubabe. Anatakiwa waende akina sheikh Mazinge na masheukh wengine wakatoe Daawa ili jamii ijue Diana ya kuumbwa kwake
Yale yale yaliyomkuta Lucky Dube.View attachment 2953318
PICHA KUONESHA ALIYEKUWA BEKI WA KAIZER CHIEF
Beki wa Kaizer Chiefs Luke Fleurs amefariki dunia kwa kusikitisha baada ya kupigwa risasi wakati wa utekaji nyara.
Siwezi kuamini hili baada ya kumuona siku chache zilizopita, wakati wa huzuni ya ajabu, rambirambi zangu za dhati kwa wapendwa wake. 🕊️💔 RIP
^ME
Arusha naweza kuwa mtaani saa nane usiku kitu ambacho SA unaweza usifanye kabisa...Hivi South Africa inawezekana kabisa pacha wake Ni Arusha..
Shida Ni maendeleo tu... Arusha wanakula mirungi na kutumia visu..
Siraha nyingi zipo mtaani harafu unakuta baadhi ya Polisi nao ni wezi au wanakula hela na wezi...South kwa level yao ya maendeleo kwanini wameshindwa kuzuia uhalifu?!
Kuna mtu alileta uzi humu eti NCHI ZENYE WAISLAMU WENGI NDIZO ZENYE VURUGU. Sasa sijui huko kusini mwa aftika nako kuna waislamu % ngapi?! Nachomaanisha hapa ni upumbavu wa baadhi ya watu ambao ikitokea mwislamu kakosea hawamwangalii kama binadamu mwingine anayeweza kukosea ila wanalifanya kosa lile kuwa ndio mrengo au sera za dini yake!! Lakini kosa hilohilo likifanywa na mtu wa dini tofauti na uislamu huchukuliwa kuwa ni tatizo lake binafsi bila kuhusisha kosa hilo na dini anayoifuata kuwa imechangia kumfanya kuwa na mrengo wa uhalifu. Sasa swali ni kwa wagalatia mnaosema eti uislamu umebeba sera za ukatili na mauaji na ugaidi , JE HAO WAZULU NI DINI GANI ILIYOWAFUNDISHA KUWA NA UKATILI NA UGAIDI??!!.Wa-South in nature wapo aggressive saana.....mkikosana wanachofikiria nikukumaliza.
Hili lipo damuni mwao.....Visasi vipo ndani mwao. Mnaosema serikali imeshindwa kulimaliza ni vigumu saana....maana yeyote popote anaweza kuua au hata kujiua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe nani kakwambia ametoka mavumbini? Wakati ametoka kwenyeuke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena wamemzidi uwezo wa kazi yeye muhusika.This is madiba.
Kufa kule hata yule mtoa roho naona kaacha kuwepo sababu nafasi yake inazaidi ya watu