TANZIA Beki wa Kaizer Chiefs afariki dunia baada ya kupigwa risasi

hiyo nchi haifai kabisa,mauji kila kona
 
Wa south wana shida

Lucky Dube
A.K.A
Zahara
Huyo beki na wengine wengi bila kusahau xenophobia
 
Una changanya mada
 
SA ,JOZ ni hatari sana kuishi hasa ukiwa na Mpunga.


"Who they think they car jackin,You dump and a dump, I slumped and I slump,They mad my car's like an elephant, the trunk in the front"-Camron

"I seen the niqqa throw that diamond up before them shots was fired" - Camron




 
Tatizo wanawalea kwa kivuli cha haki za binadamu.
Ilibidi wahalifu wafanyiwe msako wa hatari nchi nzima.
Huko kuendekeza Haki za Binadamu za kipumbavu ndo kunakoigharimu serikali ya SA.

Kuna yule mhuni wao aliyetoroka jela (Bester sijui Bestina) akiwa na ka-demu kake ka daktari kajinga kajinga, alijichanganya kukimbilia Tanzania. Alipokamatwa akawa anawajibu kunya akina Afande Mzwafalu wa Tz akidhani Tz inamtazama mhalifu kwa hicho la Haki za Binadamu. Kilichompata hatakuja kusahau. Shwaini zake!
 
South Africa uhalifu kukomeshwa inawezekana sema tu kule kwao uongozi wa kisheria kiukweli wapo mbali, si unaona hata ma Rais wao wanawashtaki na kuwafunga wamalizapo uongozi.
 
Una changanya mada
Sijachanganya!, labda tu hujanielewa!, nachomaanisha ni kwamba tukio hilo lingetokea Saudi Arabia , Pakistan, au Yemen au Sudan mngekuwa mnawashambulia waislamu hapa kwamba mafundisho ya dini yao ndio yanasababisha wauane. Lakini sioni ikitokea mauaji katika NCHI za wagaratia au wapagani kwanini hamsemi kuwa ugalatia wao au upagani wao ndio unaowafanya wauane?!
 
Hapa tunaongelea crime ya mtaani sio ugaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…