Hata sisi majanga haya tunayo,lakini, hawa wenzetu wapo level nyingine. Mtaani kwao ni kwa moto wallahi.PICHA KUONESHA ALIYEKUWA BEKI WA KAIZER CHIEF
Beki wa Kaizer Chiefs Luke Fleurs amefariki dunia kwa kusikitisha baada ya kupigwa risasi wakati wa utekaji nyara.
Siwezi kuamini hili baada ya kumuona siku chache zilizopita, wakati wa huzuni ya ajabu, rambirambi zangu za dhati kwa wapendwa wake. 🕊️💔 RIP
==========
Beki wa kati wa Klabu ya Kaizer Chiefs, Luke Fleurs amefariki Dunia ikidaiwa alitekwa na Watu ambao bado hawajafahamika kisha ya kuuliwa kwa risasi.
Klabu ya Kaizer Chiefs imesema tukio hilo lilitokea Jijini Johannesburg na Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi.
Fleurs aliyekuwa na umri wa miaka 24 alitua klabuni hapo akitokea SuperSport United, Oktoba 2023.
---
Kaizer Chiefs defender Luke Fleurs has reportedly died on Wednesday night. Fleurs is said to have been shot and killed in Florida, in a botched car hijacking.
A source close to the situation confirmed the news to Sunday World on Wednesday night.
“Yes, it is true, Luke was gunned down in a hijacking. Sad, very said,” said the informant.
Said SA Police Spokesperson Lieutenant Colonel Mavela Masondo: “The police are waiting for information on the incident for now,” Masondo told Sunday World.
Huko kuendekeza Haki za Binadamu za kipumbavu ndo kunakoigharimu serikali ya SA.
Kuna yule mhuni wao aliyetoroka jela (Bester sijui Bestina) akiwa na ka-demu kake ka daktari kajinga kajinga, alijichanganya kukimbilia Tanzania. Alipokamatwa akawa anawajibu kunya akina Afande Mzwafalu wa Tz akidhani Tz inamtazama mhalifu kwa hicho la Haki za Binadamu. Kilichompata hatakuja kusahau. Shwaini zake!
atasimulia wajukuu kama atakuepo! Huku unapigwa kama mbwakoko hamna cha mwanasheria wala nani haki ya binadamu haipo
Nilienda mwaka 2019 nikakaa miezi mitano ila nilichokiona...Sauzi sio sehemu ya kuishi kabisaa.
Kila nafsi ITAONJA umauti
Itabidi wabadilishe na katiba yao ifanane na kama ya kwetu.Huko itabidi apelekwe rpc muloto, kova na kingai
Inawezekana kabisaHuwezi kuumaliza uhalifu, ila ku-minimise inawezekana.
Roho mkononiNilienda mwaka 2019 nikakaa miezi mitano ila nilichokiona...
Hakufai. Ni Umafia mafia tu
Dawa ya kukata mikono?wanaweza wakawa na amani bila shuruti kama nchi za scandinavia.Ga
Hakuhitaji ubabe. Anatakiwa waende akina sheikh Mazinge na masheukh wengine wakatoe Daawa ili jamii ijue Diana ya kuumbwa kwake
Ona sasa kwani hao wahalifu hua wanaua kwa kutumia jina la allah kama nyie?hao ni wahalifu tu.Kobazi ndio wenye kauli mbiu ya "waislam wote ni ndugu"haijalishi ni gaidi,jambazi,mwizi...uislam ni utamaduni wa kiarabu mnaweza mkawa sawa kusema wote ni ndugu!Sijachanganya!, labda tu hujanielewa!, nachomaanisha ni kwamba tukio hilo lingetokea Saudi Arabia , Pakistan, au Yemen au Sudan mngekuwa mnawashambulia waislamu hapa kwamba mafundisho ya dini yao ndio yanasababisha wauane. Lakini sioni ikitokea mauaji katika NCHI za wagaratia au wapagani kwanini hamsemi kuwa ugalatia wao au upagani wao ndio unaowafanya wauane?!
Bunduki ziko nje nje yaani ni nyingi, ziko mitaani , pili watu wasio na fursa ni wengi pia , nao wanataka Maisha. Tatu ulevi WA madawa pia ni Mkubwa.Hata miye huwa najiuliza hilo swali
Viongozi wa waafrikaSouth kwa level yao ya maendeleo kwanini wameshindwa kuzuia uhalifu?!
Popote pale vijana weusi wanaanza kujisifia usela Hakuna amaniSA ishakuwa Marekani ya Afrika. Hakuna nchi za kipumbavu Dunia hii kama Marekani na Afrika Kusini, ukiacha uchumi imara wa nchi hizo mbili kwenye mabara husika, umiliki wa silaha za moto umerahisishwa sana.
Inahuzunisha amekufa akiwa kafir amekosa tunu na bahati ya kubadilika na kuwa mwarabu.Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.