South Africa uhalifu upo juu sana.
Serikali yao si ifanye namna hakuna kinacho shindikana, kwanza akikamatwa muuaji adhabu ya mfano.
Russia kipindi wanatoka kwenye ujamaa kipindi cha Yeltsin uhalifu ulikuwa juu sana, lakini leo hii pamekuwa shwari.
RIP.