Belarus yaamua kuachana na sera yake ya kutokuwa na silaha za nyuklia, itarejesha tena silaha zake za nyuklia kwenye ardhi yake

Belarus yaamua kuachana na sera yake ya kutokuwa na silaha za nyuklia, itarejesha tena silaha zake za nyuklia kwenye ardhi yake

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Nchi ya Belarus kupitia kura iliyopigwa Jumatatu, imeamua kuachana na sera yake ya kutokuwa na silaha za nyuklia na hivyo ipo tayari kurejesha silaha zake za nyuklia iliyozikabidha kwa Putin pasi na masharti yoyote.

Pia imeamua kuyaweka majeshi ya Russia kwa kudumu katika ardhi yake. Hatua hiyo imefuatia mpango wa NATO wa kutaka kuweka silaha za nyuklia ktk nchi za Poland au Lithuania.

" Kama nyie mataifa ya magharibi mtapeleka silaha za nyuklia Poland au Lithuania, kwenye mipaka yetu, basi nitamweleza Putin arejeshe silaha za nyuklia nilizoamua kuzitoa mwanzo pasi na masharti yoyote", Rais wa Belarus alisema.

Safi sana, kila nchi iwe na silaha za nyuklia ili tuheshimiane. Sio mie ninakuwa nazo halafu nakukataza wewe usiwe nazo ati hujastaarabika.
=====

“If you [the West] transfer nuclear weapons to Poland or Lithuania, to our borders, then I will turn to Putin to return the nuclear weapons that I gave away without any conditions,” Lukashenko said.
 
Na Ukraine angekuwa na zile silaha ake za nuke urusi angevamia kweli...
 
Haya mambo ukiangalia vizuri anaejifanya kiranja wa hii dunia kazi imemshinda na wenzie washajua biden is weak..

Trump alihandle mambo vzur kwa kuheshim na kusikilizana na wenzie eg n.korea na russia na wala hakukuwa na ujinga..

Mtu ka Putin ukimheshimu nae anakuheshim ila ukileta radhau nae anakuonesha ndio maana waliwezana na Trump.

NB: USA HASA UONGOZI WA SASA WAACHE DHARAU WATAINGIZA HII DUNIA KUPOTEA HUKO MBELENI
 
Kama Trump wa Marekani aliyekuwa akijaribu kumchimba mkwara Kiduku, Kiduku akamsimikia.

Trump was a leader, na Sasa pengo lake linaonekana. Alikutana na Kim wa Korea Kaskazini na kuongea pia walikutana na Putin ndio maana kipindi kulikuwa na utulivu, sema Iran waliposhambulia drone ya marekani Trump akawajibu kwa kuondoka na mkuu wa kikosi Soulemani. Trump alipenda negotiations nadhani angekuwepo hii Vita isingekuwa kabisa.
 
Back
Top Bottom