Sasa Nimegundua KUWA najadiliana na MTU ambaye hajielewi!! Mi sipo kimabishano nikupa hoja na reference, we we unaleta kauli zako za mtaani!! Bas tufanye Umeshinda mkuuPeleka khutba yako huko msikitini ukazawadiwe takbir, humu watu hawakariri wanatafakari...ona ulivyo jaza mistari hata maudhui yake hujui [emoji15] [emoji13] nikikuuliza Mungu alisahau nini haswa hadi amtume muhammad mtoto wa abd allah atufumdishe...[emoji47] [emoji348] kama kukamuana ngama au kupulizwa mvutu masgidi na shetani...tuweke wazi..
allah na muhammad wamemwambia Yesu ni kafir [emoji35] ref suratul tawba:30 au hiyo ndio kwa mujibu wa tafsiri ya uisilamu, ni uzuri huo [emoji15] [emoji47] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji12]
jibu [emoji117] Mungu alisahau mini hadi Amtume muham mad[emoji47] [emoji348] [emoji348] [emoji35] unauliza maswali ya uzwazwa ninini [emoji53] wazimu wa kuuliza maswali...[emoji351] [emoji351] [emoji13] [emoji12] hiyo in athari ya kukariri karaa hadi umekuwa teja sasa [emoji53] tutafakari Tora inasemaje hukumu ili aliye tundikwa mtini awe amelaaniwa [emoji117] kwanza atende kosa ambalo hukumu yake ni kifo...pili ahukumiwe..tatu, apatikane na hatia..nne, auliwe, tano, mwili wake utundikwe mtini..[emoji118] [emoji117] jee Tora ilitimizwa ktk hukumu ya Yesu [emoji47] [emoji351] [emoji117] Yesu alikosa nini [emoji47] jee alipatikana na hatia [emoji47] aliuliwa kisha ndio mwili wake ukatundikwa mtini [emoji47] nijibu hapo kwa kuanzia ili nikulishe ubongo na hashua za mbuzi Katoliki..[emoji15] [emoji53]Kumbuka hyo hyo bible inasema MTU atundikwaye msalabani BA's amelaaniwa!!
Nanyi mnadai YESU Ali tungikwa msalaban? Swali JE yesu Nate amelaaniwa? Nani kamlaani ikiwa naye NI MUNGU? Kajilaani? Jibu kiufasaha
Mungu anatupenda sie wa mitaani huku uswazi [emoji106] ndio sababu sisi tunao onekana dhaifu na nyinyi wa msasani Ametuinua ili nyinyi mnao jiona machoni penu wajanja muonekane ni mazwazwa...[emoji13] [emoji13] [emoji12]Sasa Nimegundua KUWA najadiliana na MTU ambaye hajielewi!! Mi sipo kimabishano nikupa hoja na reference, we we unaleta kauli zako za mtaani!! Bas tufanye Umeshinda mkuu
Mungu alisahau nini mpaka akamleta Yesu?Peleka khutba yako huko msikitini ukazawadiwe takbir, humu watu hawakariri wanatafakari...ona ulivyo jaza mistari hata maudhui yake hujui [emoji15] [emoji13] nikikuuliza Mungu alisahau nini haswa hadi amtume muhammad mtoto wa abd allah atufumdishe...[emoji47] [emoji348] kama kukamuana ngama au kupulizwa mvutu masgidi na shetani...tuweke wazi..
Ndio sababu sisi Wakristo Tunaamini Yesu ni Mungu..[emoji123] [emoji106] kumbe cholo hukujua hiyo ndio sababu mojawapo [emoji348] [emoji348]Mungu alisahau nini mpaka akamleta Yesu?
Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.allah na muhammad wamemwambia Yesu ni kafir [emoji35] ref suratul tawba:30 au hiyo ndio kwa mujibu wa tafsiri ya uisilamu, ni uzuri huo [emoji15] [emoji47] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji12]
Kwa huyo mugu Yesu alisahau nini mpaka akaja duniani?Ndio sababu sisi Wakristo Tunaamini Yesu ni Mungu..[emoji123] [emoji106] kumbe cholo hukujua hiyo ndio sababu mojawapo [emoji348] [emoji348]
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------Sept. 11 inamkanganyiko mwingi sana, inawezekana kabisa ni mchezo ulichezwa na wamarekani wenyewe..ila ukijiuliza wafanye hivyo wenyewe ili iweje ndo majibu hupati
Mgeni umeelewa?ACHA KUPOTOSHA WATU, 9:30 QUR'AN INASEMA HIVI
"NA MAYAHUDI WANASEMA "UZERI MWANA WA MUNGU" NA WAKRISTO WANASEMA "MASIHI NI MWANA WA MUNGU" HAYA NDIYO WASEMAYO KWA VIBYWA VYAO (PASINA KUYAPIMA) WANAYAIGA MANENO YA WALE WALIO KUFURU KABLA YAO, MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE. WANAGEUZWA NAMNA GANI HAWA!
HAYA TUONYESHE WAPI YESU AMEITWA KAFIRI??
Acha kupoteza watu KWA uelewa wako mdogo!!
6:120 quran Imeandikwa
"......NA HAKIKA WENGI WANAO POTEZA (WENGINE) KWA MATAMANIO YAO BILA KUWA NA ILIMU. BILASHAKA MOLA WAKO ANAWAJUA VYEMA WALE WARUKAO MIPAKA.
Usiamini kitu bila vigezo NDUGU!!Ndio sababu sisi Wakristo Tunaamini Yesu ni Mungu..[emoji123] [emoji106] kumbe cholo hukujua hiyo ndio sababu mojawapo [emoji348] [emoji348]
Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.
Wayahudi wasema Uzeri mwna wa Mungu,na manaswara wanasema Yesu mwana wa Mungu.Sasa mtoto wa Mungu ni yupi kati ya hawa wawili.
Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.
Wayahudi wasema Uzeri mwna wa Mungu,na manaswara wanasema Yesu mwana wa Mungu.Sasa mtoto wa Mungu ni yupi kati ya hawa wawili.
Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.
Wayahudi wasema Uzeri mwna wa Mungu,na manaswara wanasema Yesu mwana wa Mungu.Sasa mtoto wa Mungu ni yupi kati ya hawa wawili.
wewe ndie hujaelewa..[emoji13] [emoji13] [emoji12]Mgeni umeelewa?
Kila aliye mtuma hakutekeleza alicho muagiza [emoji15] Ndipo Kaja Mwenye ktk umbile bora la kibinadamu Kutuokoa..[emoji122] [emoji122] [emoji123]Kwa huyo mugu Yesu alisahau nini mpaka akaja duniani?
Hiyo biblia wewe huisomi vizuri mbona wwngi tu wameitwa wana wa Mungu.Cholo hiyo ayat umetafakari au umeikariri [emoji47] [emoji12] aya inamalizia kusema hao Wakristo wanawaiga walio kufuru kabla yao...hapo ndipo unatakiwa utafakari kabla ya Wakristo nani waliitakidi kihivyo...À Mungu anasema Yesu ni Mwanangu..À Malaika Gabrieli Ametamka Yesu ni Mwana wa Mungu...À Yesu Anatamka Mungu ni Baba yangu [emoji120] kwa mujibu wa allah na muhammad hao ndio walio kufru/makafir kabla ya Wakristo...dhahir eeh [emoji120]
cholo njooni kule jukwaa LA deen/Imani msichafue Uzi wa mzimu bhana..[emoji15] [emoji53]
Kwa hiyo wataka kutuambia,hakujuwa kama atakao waagiza hawatatenda alichowaagiza?Kwa hiyo alikuwa na mapungufu ya kutojuwa litakalotokea baadaye?Kila aliye mtuma hakutekeleza alicho muagiza [emoji15] Ndipo Kaja Mwenye ktk umbile bora la kibinadamu Kutuokoa..[emoji122] [emoji122] [emoji123]
Duuuhhwakuu iko aya katika Quran tukufu inayohusiana na sept 11 attack. labda tujaribu kuichambua.
1.Hii aya inapatikana katika sura ya tisa-Suratul Ahzab ( shambulio nalo lilitokea mwezi wa tisa yaani sept)
2. hii sura inapatikana katika Juzuu au Chapter ya 11. (shambulio nalo lilikuwa tarehe 11)
3. katika aya ya 110 katika sura hiindio kuna aya hiyo (kumbuka majengo yale yalikuwa na ghorofa 110.
4. aya hiyo inasema na mimi nanukuu "hayatodumu majengo yao ambayo wameyajenga kwa shaka ndani ya mioyo yao" (S.A)
NB: WHETHER NI COINCIDENCE AU ILITABIRI SHAMBULIO HILI MUNGU NDIE ANAEJUA.